Vipimo vya awali vya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu!

Vipimo vya awali vya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.

Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Uanzishwaji wa bima ya afya kwa wote.
8-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
9-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
10-Uhai wa ATCL
11-Udhibiti wa rasilimali zetu

Naomba muongeze mengine ya muhimu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.

Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
8-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
9-Uhai wa ATCL
10-Udhibiti wa rasilimali zetu

Naomba muongeze mengine ya muhimu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mkuu mbona unarukia mambo ya mbele wakati hatujamaliza kusoma ripoti ya CAG? embu tulia kwanza tunywe maji tuendelee na ripoti.
Screenshot_20210408-213742.jpg
 
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.

Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
8-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
9-Uhai wa ATCL
10-Udhibiti wa rasilimali zetu

Naomba muongeze mengine ya muhimu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Samia akikamilisha haya itakuwa poa saaana
 
Kikwete aliitwa dhaifu, huyu Samia tunasubiri jina lake.
 
bila kujali mapungufu yaliyoainishwa na CAG bado mambo haya yanapaswa kuendekezwa.iwapo kuna fedha zilipotea zifuatiliwe na kurejeshwa ili miradi hiyo ikamilike.
 
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.

Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Uanzishwaji wa bima ya afya kwa wote.
8-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
9-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
10-Uhai wa ATCL
11-Udhibiti wa rasilimali zetu

Naomba muongeze mengine ya muhimu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sio lazima afanye hayo anaweza anza na bandari ya Bagamoyo...na yeye hapangiwi na ukimshauri ndio utaharibu kabisa.

Mama mpendwa nenda vile utakavyo na sio kwa matakwa ya hawa watu wasikupangie.
 
Sio lazima afanye hayo anaweza anza na bandari ya Bagamoyo...na yeye hapangiwi na ukimshauri ndio utaharibu kabisa.

Mama mpendwa nenda vile utakavyo na sio kwa matakwa ya hawa watu wasikupangie.
Hakuna sehemu nimelazimisha mkuu
 
Hivi juice za ndimu zimeisha hapo Chato???
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.

Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Uanzishwaji wa bima ya afya kwa wote.
8-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
9-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
10-Uhai wa ATCL
11-Udhibiti wa rasilimali zetu

Naomba muongeze mengine ya muhimu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Back
Top Bottom