jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Rest in peace John Pombe Magufuli.
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.
Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Uanzishwaji wa bima ya afya kwa wote.
8-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
9-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
10-Uhai wa ATCL
11-Udhibiti wa rasilimali zetu
Naomba muongeze mengine ya muhimu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hongera kwa Mh Rais Samia kwa kukamata kijiti.
Mimi nikiwa muumini wa Sera na utekelezaji wa Ilani ya CCM nachelea kusema vipo vigezo muhimu vitakavyoelezea utendaji kazi wa Mh Rais Samia katika awamu ya sita ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa yale Serikali ya CCM iliyoyaahidi na kuaminiwa kuyafanya na wananchi wanyonge wa Tanzania.
Katika yote ambayo CCM iliyaahidi yapo mambo muhimu yakuzingatia ambayo yalivutia wapiga kura nikiwemo mimi.
Nitaorodhesha baadhi
1-Ukamilishaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Ujenzi wa bwawa la umeme,ujenzi wa SGR na ujenzi wa flyovers.
2-Ukamilishaji wa ujenzi na matumizi ya mji wa dodoma kama makao makuu
3-Elimu bure hadi kidato cha nne
4-Ukusanyaji wa mapato
5-Uanzishwaji wa somo la historia ya watanzania
6-Ujenzi wa zahanati,vituo vya afya na hospitali za wilaya
7-Uanzishwaji wa bima ya afya kwa wote.
8-Udhibiti wa wakwepa kodi na mafisadi kwa kasi ile ile
9-Nidhamu na uwajibikaji ya watumishi wa umma
10-Uhai wa ATCL
11-Udhibiti wa rasilimali zetu
Naomba muongeze mengine ya muhimu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!