Vipimo vya COVID19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini)

Nilichogundua hapo ni kuwa wapambe wa Kayafa walioelekezwa wachukue sampuli hawakuwa na ujuzi wowote wa kuchukua sampuli kwa ajili ya vipimo vya Covid-19...!!
Na hii inadhihirisha kuwa baadhi yao walikuwa na maambukizi ya Covid-19 na wali-contaminate sampuli walizochukua...!!
 
Makala yako ingependeza kama ungekuwa objective. Tupe facts bila kupiga vijembe kwa watu wengine kama kwamba wewe ni "I know it all'. Hatuna shida na maneno yako ya shombo eti "wasaka tonge"! Wewe unasala nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyesoma anipe summary kwa sentensi moja tu.
Huyu pamoja na usomi wake uchwara, hitimisho lake ni kuwa kwanini wataalamu wa maabara walishindwa kujua sampling iliyoletwa siyo ya binadamu,

hana hoja ya maana kuthibitisha kuwa vipimo halali vya binadamu vilivyotangungulia kupimwa kabla ya papai vilikuwa vinamakosa
 
Bomboclaat...mleta mada Unataka kupotosha

Anayoyasema Huyu msomi yalikwishasemwa, imemchukua wiki 2 kuandika maoni yake kwa sababu alihitaji kudesa waliyoyasema akina Dr.Mwele

Anyway, Uzuri mtaalam amekiri kwamba anaomba "Kazi" kwa Jiwe
 
Oil chafu nayo ilitoa RNA? Yes, indeterminate (pronounce please!!!)
 
Bomboclaat...mleta mada Unataka kupotosha

Anayoyasema Huyu msomi yalikwishasemwa, imemchukua wiki 2 kuandika maoni yake kwa sababu alihitaji kudesa waliyoyasema akina Dr.Mwele

Anyway, Uzuri mtaalam amekiri kwamba anaomba "Kazi" kwa Jiwe
Hahaha, mnatupa shida sana kuamini kama kweli nyie ni binadamu, kwa taarifa yako furaha yangu kubwa ni kuchangia kwenye upatikanaji wa dawa na sio ajira. Kama kazi tayari ipo yenye uhakika. Ahsante
 
Nimesoma kila kitu alichokiandika, na haya ndio ninaweza kueleza.

-Msingi wa ulichokiandika umekosa mantiki, maana umeeleza mambo mengi kiujumla na kwa kina, huku ukishindwa kueleza ni Vipi wakina Mwele Malecela na CDC wamepotosha. Maelezo ya Mwele yalikuwa yakiujumla, mafupi, yenye kueleweka moja kwa moja na hayakuwa mahsusi dhidi ya Mheshimiwa Rais (Tafsiri zetu zilielewa wazi Mwele alikuwa akijibu Shutuma za Mheshimiwa Rais kwa kusema madai ya Rais hayakuwa na mantiki yoyote ya kisayansi) na CDC walitetea ubora wa vipimo vya kimaabara unaotumika kupima COVID hapa Tanzania kuwa ni sahihi na ndio standard za dunia nzima. (Kimsingi CDC walikuwa wanalinda taarifa za maumbukizi yaliyotokana na majibu ya maabara hapa duniani dhidi ya upotoshaji uliokuwa umeanza kuzagaa duniani ambapo ulichochewa na kauli ya Mheshimiwa Rais)

-Mleta umeshindwa kabisa kuonyesha mapungufu ya kauli ya Magufuli, ambapo kitaalamu unajua kabisa matamshi ya Magufuli yalikuwa ni upotoshaji wa kiwango cha SGR. (Kwanini? Uwezi kupima ubora wa vipimo vya maabara kwa kutumia sampuli isiyo sahihi (wrong specimen) na kamwe huwezi kutafsiri majibu ya maabara yaliyotokana na sampuli isiyo sahihi. Wrong specimen=Wrong test=Wrong result=Unexplainable science)

Mwisho kabisa mleta mada nimeona kama unatafuta ajira ya kuteuliwa ili kushika nafasi katika maabara kuu ya Taifa mara baada ya aliyepo sasa kusimamishwa au nafasi ya bure bure kutoka kwa mheshimiwa Rais. Sijaona mantiki ya wewe kujieleza ulivyo, kutoa wasifu wako, ulichosomea, wapi ulisomea, ulisomea nini nk. Huo ni utoto sana kwa msomi.
Yote kwa yote sote tunajua mheshimiwa yuko desperate kwa sababu ya sakata la COVID hivyo anaweza kuokota mtu yoyote yule mwenye kuonyesha uwezo wa kumcover katika hili, hivyo unaweza kuvuna chochote. Hivyo usisahau pia kuweka na kadi yako CCM mtandaoni kama unayo ili mheshimiwa ajue wewe ni kada mwaminifu ama sio.
 
Oil chafu nayo ilitoa RNA? Yes, indeterminate (pronounce please!!!)
Ndio hapo sasa, Mwele na wenzake hawakujua test kits zinatumi RNA na sio vinginevyo. Wataalam wakashinda hata kujua oild kwa macho. Kimsingi, hawa wote ni wahujumu afya.Unaweza kuendelea kumuamini ili kutimiza hamu yako. Ahsante
 
Ulimwengu umejaa wajinga sana hawahitaji kufikiri.
Hata ungeandika kwa utalaam gani kama hautakuwa aganist na serkali iliyopo madarakani hutapata support.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serlikali yenyewe inajicontradict, maabara ni ya serikali wataalamu ni waajiliwa wa serikali, vifaa kama ni vibovu vimenunuliwa na serekali,
Labda useme wachangiaji wako against upotoshaji wa magu
 

Sihitaji kujitetea kwa sababu hunijui, na endelea hivyo hivyo. Kila ulichikiandika kina kasoro ya uelewa. Kukusaidia ni shule na si vinginevyo. Pole.
 
Mkuu najuwa wengi wanaweza kusema hili haliwezekani kabisa.

Mimi nasema kwa tanzania hili linawezekana sana.

Ngoja hapa leo nilipue bomu moja kubwa sana kwenye sekta ya Telecom.

Kuna kampuni zinazopewa kandarasi na wenye minara ya simu ya kutembelea minara yote na kukagua ubora au nguvu ya signal husika kama ni 3G au 4G kuelekea pande husika zilizolengwa na waliosimika minara.
Vijana wengi wanaotumwa kufanya hizi kazi wanalipwa pesa ndogo na kupewa pesa kiasi kidogo sana cha kufanyia shughuli husika au ya kujikimu huko mikoani.
Kinachotokea vijana kutokana na kutaka kubana matumizi au wengine wamefanyia starehe pesa ya kukodi usafiri wa kufanyia Test drive hivyo wanapika baadhi ya hizi data kwenye software flani na kupata ripoti husika.

Hili jambo lipo tena kwa hakika kabisa na nisingependa kuzitaja kampuni zinazofanyiwa uhuni huu.
Kwa watanzania hili la kuchoka na kupika matokeo ya vipimo baada ya kuchoka au kuziharibu kimakosa kama kuangusha na kuogopa kuomba sample zingine inawezekanan kabisa.
 
Kuendelea kusoma ambavyo huvijui. Karibu kwenye darasa letu la "Drug Design"
Umeshauriwa andika hizo blablah zako kwenye lugha ya kisomi peleka kwenye vyuo makini duniani kama Hopkins au havard ipate ithibati alafu ndo uje kusifu na kuabudu, ili upate UDC

Vinginevyo unajifichaficha huku kwa wajinga wa fani hii ili kumfurahisi mtukufu akupandishe cheo
 
Kuna ushahidi gani kuwa kuna sample za mapapai zilipelekwa maabara ya taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyway, kuua kirusi kwa fumigation ni kichekesho, virusi vinahitaji living cells ili kuendelea kuishi, fumigation inafanyika kwenye objects which does not necessarily host viruses.
Swala la kunyunyuzia dawa lilielezwa mia yake na haikuwa kuua virusi bali kuua mbu na wadudu wengine wanaosababisha maradhi mengine yanayoweza kusababisha udhaifu kwa mtu, na endapo atapata virusi basi mwili hautaweza kuvimudu.
 
You nailed it, Thank u.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
(Msingi wa ulichokiandika umekosa mantiki, maana umeeleza mambo mengi kiujumla na kwa kina,)

Kipengere hicho hapo juu kwenye mabano ulichokiandika mkuu, ndicho kilichokuondolea uhalali wa swali lako na umebakia kuwa na wewe umeegemea sehemu Fulani Kwa kujilazimisha hata kama umeuona ukweli,

Hata hivyo sishangai Kwa sababu kila mtu hutaka kuonekana kwamba anaweza kuliko mwingine hata kwenye mambo asyokuwa Nayo uelewa,

Ifike pahala tujikubali na kuwakubali wengine,

Kifaa kilichopimia mapapai ndicho hichohicho kilichompima Dereva wa Lori wa Kenya mpakani mwa Uganda, na aliporudishwa Kenya ikabidi apimwe tena Kwa kifaa hichohicho kikaonesha hakuwa na Maambukizi, Kwa nini vifaa hivi vistiliwe mashaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…