Vipimo vya COVID19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini)

Wewe ni researcher, kitu cha kwanza, ethically umekosea misingi ya research; kwanza hauko impartial, ushakuwa biased, rsearcher yeyote hajabisha, bali ameonesha "iaccurracy" ya vipimo "kiasi fulani"; upo very political- qualitative; you want to promote somebody. unasema "hapo ndipo JPM anapopata shida dhidi ya wazungu na mawakala wao" ukamalizia "aliyeleta ugonjwa kaleta na vifaa vya kupimia na analazimisha kutumia hivyo vifaa hata kama ni vibovu" in other words hivyo vifaa vingetoka from third party ungeviamini?
 
Vipi kama wewe ndiye msaka tonge hata ukaja na mada ya kutetea? Mimi bado na naswali mengi tu ya hizo RNA zinavyotenganishwa. Kwahiyo sijaridhika na maelezo ya huyu Dr
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisahau hao hao wakenya waliwapima madereva wao na kupelekwa karantini, alipimwa mara ya pili ikaonekana hana corona. Aibu!!
haaaaaaaaaaaa, Mr. researcher, Covid-19, unaweza kupima leo ukawa huna, lakini baada ya muda ukapima ukawa unayo, na kuna ambao hawana sympoms zozote zile. Kuna sehemu watu wameshakaa siku 14 wakapimwa hawana, baada siku ya 28 wamekutwa nayo, unataka kusema nini? what about those asymptomatic.
======================
President John Magufuli of Tanzania – which has not enacted any strict measures to curb the coronavirus, skipped the meeting, though Tanzania currently has 509 confirmed cases, with 21 deaths. After neighbouring Zambia recorded its biggest daily jump in cases – most at a town along the Tanzanian border – Zambia closed its border with Tanzania.
On Saturday, Zambia recorded 85 new confirmed cases, 76 in Nakonde, the border town with Tunduma, Tanzania. As of Tuesday, Zambia had a total of 441 Covid-19 cases and seven deaths
.
 
Mkuu unaweza kutafiti report ya evaluation ya hiyo machine hapa Tanzania ilifanywa na nani na majibu yalikuwaje mpaka kuihalalisha itumike?
 

Ngoja tusubirie jibu la Tume kama litakuja kisayansi
 
Ulipomtaja Mwele nikajua umemmisquote. Huyu si ndo alikuwa Mkurugenzi wa NIMR?
Bado nadhani hiyo account iliyotumika kutoa comment itakuwa sio yake.
Maana imetolewa kama vile Mwele hata hajui chochote kuhusu PCR
No it cant be Mwele - Yule Biologist mwenye PhD tuliyemtetea alipotumbuliwa
 
Sijawahi kuteuliwa wala sitegemei uteuzi. Kazi yangu ni kukusaidia wewe dhidi ya wasaka tonge
Mkuu nashukru sana kwa makala yako, bahati mbaya ni makala iliyo deep sana kwenye molecular biology na humu wengi si wataalam, so utaambulia kejeli matusi na kuitwa Lumumba.

Hii ni sababu watu wamejeruhiwa kihisia na majibu yanatoka kihisia bila facts za kisayansi.

Uliyoandika ni kweli na mojawapo yanaweza yakawa sababu.

Ilishawahi kunitokea wakati nafanya tasnifu ya shahada ya umahiri ambapo nilikua na sample 28 lakini zilizokua na ubora baada ha kufanya DNA extraction zilikua sample 7 tu.
Nilifanya PCR na zile sample bora na safi (pure) nilizipelekea kwenye DNA sequencer.

Baada ya kufanya protocal zote na kuweka sample nilishangaa baada ya ku-run 24hrs, kesho yake sample yangu moja ilionesha ilikua ni nyani tena wanapatikana Congo, nilipaniki sababu mimi sample zangu zilikua ni fangasi kutoka kwenye matunda. Lakini tulivyofanya uchunguzi, tulikuja kujua kumbe technician alikosea kuweka template so kukawa na mislabelling.
 
Nimesoma makala yako kituo kwa kituo, sina tatizo na ulipojibu hoja za Mwele na mkuu wa CDC Africa

Hoja hujibiwa kwa hoja hilo halina ubishi

Shida yangu ipo kwenye namna ulivyofanya conclusions zako, moja umeacha sayansi ukakimbilia kwenye siasa "Mabeberu" Hivyo vipimo havikuwepo kabla ya ujio wa Covid-19
Kipindi hicho mnatumia hivyo vipimo kwa ajili ya mambo mengine mabeberu hawakuwepo?

La pili umetumia nguvu nyingi sana kutuaminisha wewe ni mtaalam, kwa nadharia za kawaida tu anayepiga kelele nyingi kwenye chumba ndiye mdhaifu.

Tatu Watanzania tunajijua wenyewe, kwa mdomo tu tuna tatizo kwa haya yote unayoyajua vipi unafanya kazi kwenye maabara ya taifa sasa hivi?
Kama haufanyi tunaambiwa wapimaji ni wachache kwanini hukuomba nafasi uonyeshe ujuzi wako pale kuwasaidia Watanzania.

Tanzania yetu hii mwenye degree anatafuta kazi na mwenye kazi anatafuta degree hivyo wacha mimi nisiburie Mtaalam atakaye jibu hoja zako niendelee kujifunza.

Mwisho kabisa CV yako nadhani itapokelewa Chato ukawe katibu Mkuu wizara ya Afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UncleBen kwanza ahsante sana kwa maoni yako. Pili, naomba uelewe kwamba nia na madhumuni yangu haikuwa kutafuta kazi bali kuonyesha ukweli halisi. Walioitwa wasaka tonge kwenye uzi huu mara nyingi hawapendi mtu ajitokeze kuelezea ukweli ili waendelee kuwadanganya watu wengi. Mwaka 2015, niliwahi kufutwa inbox na kupigwa biti kali sana na kundi hilo.
Tushirikiane kunyoosha panapindishwa kwa lazima kama ipo ndani ya uwezo wetu.

Nimemalizia kwa kutoka kidogo nje ya sayansi kwa sababu mada za huko nyuma zililetwa kisiasa zaidi. Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe lakini kuruhusu jina lako litumike kisiasa inamaana unakubaliana na yanayosemwa. Napata shida sana kuamini kwamba account husika ni ya Dr.Mwele.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuteuliwa wala sitegemei uteuzi. Kazi yangu ni kukusaidia wewe dhidi ya wasaka tonge
Tatizo wengi hapa wamesoma Baed kama sio political, hivyo ni sawa umewamwagia kuku almasi. Ila tunashukuru kwa ufafanuzi
 
Hii taarifa yako ni nzuri sana lakini, nzuri kwa mtu mzuri. Au ni nzuri Kwa JF ya miaka ile. JF ya sasa haina control. Kila kitu kinaamuliwa kwa mtindo wa CCM vs CHADEMA. Hakuna ufahamu na hakuna uelewa. Hata asiyejua RNA na DNA atasema analolijua kuhusu CCM au CHADEMA. Angalia michango ya watu hapa, wengine hata hiyo PCR hawajawahi kuiona lakini hawaulizi. Badala yake wanazomea! Najua wataota sharubu wakiwa JF bila kuongeza uelewa.

Mwishoni umetoa ombi kwa viongozi wa JF. Hawa ndo tatizo kwa sasa. Nionavyo hawako apolitical. Wanajilazimisha kuwa neutral lakini wako na msimamo wa aina fulani. JF ya mwanzo iliondoa au kufuta thd zisizoleta tija na zisizo na ushahidi. Leo hii tunaletewa tetesi, hata kijana wa kindergarten analeta thrd na inachangiwa na wenzake.
 





Dr. David Nabarro​

THE Special Envoy to World Health Organisation (WHO) and Director-General on Convid-19, Dr. David Nabarro has recommended a COVID-Ready society in which people will learn to live with the virus instead of unending lockdown as a preventive measure having produced no vaccines or cure for the virus.

Nabarro made the statement through his Twitter account stating that unending lockdown may do more harm than good as a result of its effects to people and economies of nations at large.

“This virus is going to be with us for the foreseeable future and nobody wants to go having lockdowns as we have at the moment”

“Covid-19 tracing, containment and neighbourhood health watch will be necessary even once the present wave of outbreaks is gone.

“We have all got to learn to live with this virus, to do our business with this virus in our presence, to have social relations with this virus in our presence and not to be continuously having to be in lockdown because of the widespread infections that can occur”, Nabarro stated.

According to him, establishing a COVIDready state requires the full and willing participation of people, a high level of organization within communities, public health services as well as COVID-Ready hospitals and other health care units.

https://www.carlumegboro.com/2020/0...earn-to-live-with-the-virus-who-boss-nabarro/

Aibu kubwa kwa wengi.
 
Tunasubiri majibu yenye ufafanuzi angalau wa kitaalamu kidogo,lakini siyo yale majibu ya ukipima maji utaonekana mkojo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…