Vipimo vya COVID19: Dr. Mwele na Dr. John Nkengasong(Africa CDC) walitumika kupotosha ukweli wa kisayansi (wasaka tonge kazini)

Yap nimekupata
 
Jomba umesoma mpaka darasa la ngapi vile...maana wengine hunu at kayumba Lower school hamuwez ambulia kitu katika maelezo haya
 

Swali kwamo Mtaalamu,ina maana Dr Mwele na Dr Nkengasong na huyu alieyekuwa Mkuu wa Maabara hapa kwetu elimu yao ina uwalakini katika hii nyanja ya utafiti na tiba ndio maana wakatupotosha?
 
Swali kwamo Mtaalamu,ina maana Dr Mwele na Dr Nkengasong na huyu alieyekuwa Mkuu wa Maabara hapa kwetu elimu yao ina uwalakini katika hii nyanja ya utafiti na tiba ndio maana wakatupotosha?
Sitaki kuonekana kama nashambulia elimu yao bali mawazo yao potofu juu ya upimaji wa Covid 19.
 

Well articulated. Lakini tegemea kukandiwa sana na vibaraka ambao wana kazi moja tu; uchochezi na kusababisha taharuki ili biashara ya wakubwa itimie .
 
UPUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUZi
 
Nakubaliana na wewe lakini kuruhusu jina lako litumike kisiasa inamaana unakubaliana na yanayosemwa. Napata shida sana kuamini kwamba account husika ni ya Dr.Mwele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni account yake. Ukitanguliza chuki na kutaka kufanya revenge, kuna hatari kubwa ya kushindwa ku-maintain professionalism. Mfuatilie "Shangazi" wa twitter anavyochemka mara kwa mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…