The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuka wanajamvi
Katika sheria ya haki za binadamu zinaruhusu muamiaji katika nchi zingine uwe mkimbizi wa kisiasa ama unafanya kazi ama kuishi kiuhalali katika nchi nyingine kupeleka familia yake ambao uliiiaacha kwenye nchi yako.
Unaruhusiwa kumleta mke na watoto chini ya mia 16 wako wa damu. Pia nchi nyingi ulaya kama una uraia wao zinaruhusu kuwaleta wazazi wako kama wana miaka zaidi ya 65.
Sasa kwenye watoto kuwaleta lazima wapime DNA kama ni damu yako halali. Na hizi DNA lazima zifanyike na majibu kupatikana kwenye balozi husika.
Vilio na huzuni vimetawala sana kwa wanaume kugundua wamekuwa wakilea na kutunza watoto siyo wao pale wameshafanyya process zote za kuleta familia zao ikibakia tu matokeo ya DNA katika balozi wanaambiwa mtoto ama watoto si wako na balozi kusitisha mara moja visa.
Hii imetokea sana kwa Raia wa Iraq, Syria, Somalia na Ethiopia.
Nchini Ethiopia ambapo kuna balozi nyingi za ulaya na Marekani na Canada zinazoshughulikia raia wa Somalia kwenda nchini mwao kuna Vilio sana na sintofahamu ikifika kupima DNA watoto.
Source rafiki wa karibu sana anayehusika na mambo haya
Katika sheria ya haki za binadamu zinaruhusu muamiaji katika nchi zingine uwe mkimbizi wa kisiasa ama unafanya kazi ama kuishi kiuhalali katika nchi nyingine kupeleka familia yake ambao uliiiaacha kwenye nchi yako.
Unaruhusiwa kumleta mke na watoto chini ya mia 16 wako wa damu. Pia nchi nyingi ulaya kama una uraia wao zinaruhusu kuwaleta wazazi wako kama wana miaka zaidi ya 65.
Sasa kwenye watoto kuwaleta lazima wapime DNA kama ni damu yako halali. Na hizi DNA lazima zifanyike na majibu kupatikana kwenye balozi husika.
Vilio na huzuni vimetawala sana kwa wanaume kugundua wamekuwa wakilea na kutunza watoto siyo wao pale wameshafanyya process zote za kuleta familia zao ikibakia tu matokeo ya DNA katika balozi wanaambiwa mtoto ama watoto si wako na balozi kusitisha mara moja visa.
Hii imetokea sana kwa Raia wa Iraq, Syria, Somalia na Ethiopia.
Nchini Ethiopia ambapo kuna balozi nyingi za ulaya na Marekani na Canada zinazoshughulikia raia wa Somalia kwenda nchini mwao kuna Vilio sana na sintofahamu ikifika kupima DNA watoto.
Source rafiki wa karibu sana anayehusika na mambo haya