mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa wewee umekaa miaka yote huko ulaya.huyo mtoto utampata vipi akiwa TANZANIA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida sio kusaidia, bali unatakiwa uambiwe ukweli ili uwe unajua kuwa unatoa msaada. Maana msaada na wajibu ni vitu viwili tofauti, kwa mtoto wako ni wajibu wa mzazi ila mtu mwingine ni msaada. Pia kama kuna ulizima hata mzazi wa huyo mtoto alitakiwa achangie matumizi ya mtoto wake.Si unakua umemsaidia binaadam mwenzako? Mungu ndiye atakayekulipa so hata ukimrithisha mali zako inaweza kuwa poa au unaonaje jamani!
Well saidShida sio kusaidia, bali unatakiwa uambiwe ukweli ili uwe unajua kuwa unatoa msaada. Maana msaada na wajibu ni vitu viwili tofauti, kwa mtoto wako ni wajibu wa mzazi ila mtu mwingine ni msaada. Pia kama kuna ulizima hata mzazi wa huyo mtoto alitakiwa achangie matumizi ya mtoto wake.
Mkuu uliwapima hapa hapa bongo au, na njia zipi ulitumia mkuu.....Mana naskia kuna ulakini kwenye majibu sijui hili unalizungumziajeKawaida tunapima watoto wakiwa chini ya mwaka mmoja. Wangu pamoja na resistance za mama niliwapima
Wanavyoshabikia dini sasa.....kila kitu Mtume Mohammad kumbe wazinzi wakubwa.Wasomali hawanaga ushemeji
Unayakumbuka ya Baba Diamond? Unalea mtoto wa kibaka wa kitaa mwisho wa siku unaambiwa na Mamaye kuwa si wako.Si unakua umemsaidia binaadam mwenzako? Mungu ndiye atakayekulipa so hata ukimrithisha mali zako inaweza kuwa poa au unaonaje jamani!
Yule mtoto wa Miss Natafuta ni wa kwangu!Duh, vitombi sasa, hali ni tete
[emoji23][emoji23][emoji23]Eti kitanda hakizai haramu! Hiyo ilikuwa mwaka 47 si hii karne ya 21.
Watu wanadanganya. Nilipima hapa Bongo na si mtoto mmoja. Kwa hakika kipimo kinasema ukweli maana kuna mtoto mmoja wa mchepuko wangu ilikuwa negative. Sasa ana miaka 10 na hatufanani hata kidogo ingawa alipokuwa kichanga ilionekana kwa macho tunafanana. Baadaye mchepuko alimpeleka kwa Biological father na kweli wanafananaMkuu uliwapima hapa hapa bongo au, na njia zipi ulitumia mkuu.....Mana naskia kuna ulakini kwenye majibu sijui hili unalizungumziaje
Hata Mshana Jr alisema hivyohivyoYule mtoto wa Miss Natafuta ni wa kwangu!
Yakweli haya mkuuNlishawaambiaga michoro ya mkono wa kushoto ya mtoto inafanana na baba yake mzazi kwa 98% kabla hujajaribu DNA anza na hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kwanza kwa ndugu zako wa baba m1 theni uje kwa wanaoYakweli haya mkuu