Vipimo vya VVU vinauwezo wa kubaini vvu mwilini kwa muda gani?

Vipimo vya VVU vinauwezo wa kubaini vvu mwilini kwa muda gani?

Saint H.Jr

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
47
Reaction score
40
Asalam alayqum,
wadau,pamoja na kuwa nilitoa kama hoja katika moja ya uzi hapa,nimeona ni vyema niliweke liwe swali la kujitegemea,hivi vipimo vya VVU(HIV) vinauwezo wa kubaini vvu vyenye muda gani mwilini? Mfano,leo nimeambukizwa,inachukua muda gani hadi vipimo vionyeshe uathirika wangu?
Nawasilisha
 
vipo vinavyoweza kubaini siku hiyo hiyo vingine wiki vingine miezi kadhaa n.k
 
Asalam alayqum,
wadau,pamoja na kuwa nilitoa kama hoja katika moja ya uzi hapa,nimeona ni vyema niliweke liwe swali la kujitegemea,hivi vipimo vya VVU(HIV) vinauwezo wa kubaini vvu vyenye muda gani mwilini? Mfano,leo nimeambukizwa,inachukua muda gani hadi vipimo vionyeshe uathirika wangu?
Nawasilisha

Kwa nchi kama Tanzania, vipo vya kuweza kutambua VVU baada ya siku 21. Kwa uhakika ni siku 90.
 
Asalam alayqum,
wadau,pamoja na kuwa nilitoa kama hoja katika moja ya uzi hapa,nimeona ni vyema niliweke liwe swali la kujitegemea,hivi vipimo vya VVU(HIV) vinauwezo wa kubaini vvu vyenye muda gani mwilini? Mfano,leo nimeambukizwa,inachukua muda gani hadi vipimo vionyeshe uathirika wangu?
Nawasilisha

nilitoa majibu ya hili swali kwenye thread yako iliyopita,. Ksijui namna ya kuhamisha maelezo yangu ila si vibaya ukarejea posti iliyopita mkuu,.


Niliandika kwa maandishi ya rangi ya blue mkuu
 
nilitoa majibu ya hili swali kwenye thread yako iliyopita,. Ksijui namna ya kuhamisha maelezo yangu ila si vibaya ukarejea posti iliyopita mkuu,.


Niliandika kwa maandishi ya rangi ya blue mkuu

very fantastic expressions! Nilipitia but i was just scanning! Kumbe ndio maana watanzania tunashindwa kupanua wigo wa maarifa kwa sababu huwa hatutaki kusoma na tukisoma basi ni juu juu sana! Nimependa sana maelezo yako tena they are more scientific! Ngoja niku_PM unishauri kitu.
 
very fantastic expressions! Nilipitia but i was just scanning! Kumbe ndio maana watanzania tunashindwa kupanua wigo wa maarifa kwa sababu huwa hatutaki kusoma na tukisoma basi ni juu juu sana! Nimependa sana maelezo yako tena they are more scientific! Ngoja niku_PM unishauri kitu.

Mkuu natumia simu unaweza kunitaftia hayo maelezo aliyoyatoa then ucopy unipm?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
nilitoa majibu ya hili swali kwenye thread yako iliyopita,. Ksijui namna ya kuhamisha maelezo yangu ila si vibaya ukarejea posti iliyopita mkuu,.


Niliandika kwa maandishi ya rangi ya blue mkuu

Basi huo uzi unaousema siyo wa huyu jamaa, ulikuwa ni uzi wa member mwingine anaitwa beeper (mtu anayebipu) ambao ni huu


Rejea thread ya CD4 ngapi unaanza kutumia ARV.


Nimeandika kwa rangi ya blue

Yale uliyokuwa umeandika kule ni haya hapa chini;

Diagnostic Measures,.

HIV infection can be diagnosed by detecting and quantifying the amount of HIV in the body, the viral load; or it can be by detecting antibodies developed as a result of HIV infection by using HIV Rapid tests or ELISA.

HIV Antibody Tests

1.Rapid tests
2.ELISA- Enzyme Immunoassay (Enzyme-Linked-Immuno-Sorbent-Assay)


Detection/quantification

1.p24 antigen ( measure quantities of this viral antigen)

2.PCR DNA( qualitative detection of virus genetic material.

3Viral load assay( qualitative assesment of number of virus particles)

4.Viral culture growing HIV in the laboratory.


NOTE

Diagnosis depends on detection of antibodies to HIV and specifically it relies on rapid tests which are very sensitive and very specific.

Rapid tests cannot detect HIV before antibodies are made. This is called the Window Period.

A person who has just become infected with HIV goes through a stage of rapid HIV multiplication leading to a high amount of the virus in the blood before the imune system detects and tries to control the infection.

Because of the large amount of the virus in the blood, this person also has a greater likelihood of infecting others.

Since this person is also newly infected, he or she may not even know that they are HIV positive.

And even when tested he or she will be negative because his body will not yet have made antibodies against HIV
 
Last edited by a moderator:
katika sayansi kubwa kabisa uwezekeno wa kugundua maambukizi ni ndani ya masaa wala si siku lakini ni kwa wenzetu na njia hizo kwa sasa hazipo kwenye public service ila wanazituia zaidi katika tafiti zinazoendelea kufanyika,mfano wanaweza kumwekea virusi hata panya na muda huo huo wakaanza kumchunguza, lakinikwa hapa kwetu ni miezi mitatu toka maambukizi,na kwa wenzetu hata ndani ya wiki kwenye publi service wana uwezo wa kujua
 
Back
Top Bottom