Vipindi vya Baridi kuendelea kwa baadhi ya mikoa

Vipindi vya Baridi kuendelea kwa baadhi ya mikoa

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Viwango vya chini vya Joto katika Mikoa ya Njombe na Mbeya vinatabiriwa kuwa 5°C, Iringa 11°C, Tabora 12°C, Arusha 14°C, Mwanza na Dodoma 16°C katika saa 24 zijazo kuanzia usiku wa leo Juni 21, 2022.

Aidha upepo mkali unatarajiwa katika baadhi ya maeneo ya Ukanda wa Pwani ya Bahari ya Hindi ikiwemo Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Lindi, Mtwara, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba.

Hali ya Baridi ipoje hapo unapoishi?

1655816496986.png
 
Kwetu ni Mbeya ila huwa nakwepa kwenda msimu huu huwa kuna baridi kali sanaa! Bora Iringa.
 
Hapa Msasani Tukuyu ni 13°c muda huu...ikifika saa mbili au nne usiku inaangukia single digit!
 
Hapa dodoma muda huu nipo kwa bed nimeunganisha shuka mbili ndio nahisi kwenda sawa na nyakati
 
Back
Top Bottom