thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,556
Umesahau Azam federation cuphalafu ni timu 6 zinashiriki kama zingekuwa ishirini kama za kwetu ukijumlisha na mashindano ya sport pesa na mapinduzi ni wazi viporo vingekuwa zaidi huyu jamaa kawaambukiza unafiki mpaka mashabiki wake