Viraka wa mapenzi

Viraka wa mapenzi

Kimbweka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2009
Posts
8,597
Reaction score
1,690
Jamani duniani kuna mambo
Kuna wanaume/wanawake wenyewe ni viraka vya mapenzi
Penzi na mwenzio likitoboka tu na usipo wahi kuliziba tayari kiraka anatia timu na kuziba
Tatizo rangi ya kiraka sasa ni tofauti na ile ya penzi
Kuiondoa kazi
Jamani jihadharini sana
 
kimbweka jaman
leo kalale kdg km stress zooooooooooote hpful zmeisha...mh poooole!!!!!!
i ya ngap?
kweli kiraka kina doa la ajabu
na kiraka hakiwez kumfikia yule wa sakrament!!!!
 
kimbweka jaman
leo kalale kdg km stress zooooooooooote hpful zmeisha...mh poooole!!!!!!
i ya ngap?
kweli kiraka kina doa la ajabu
na kiraka hakiwez kumfikia yule wa sakrament!!!!

Baada ya saa za kazi tuonane tuongee kabisa
 
Stress hazijakwisha tu mpaka sasa pole leo tutaipata fresh si mchezo endelea mkuu lete mambo
 
Wewe siyo kiraka bana mbona hivyo

ahh m sor bwna ..nilisahau
kumbe ni wewe nilikuwa nae pale altaren juz?
st josef?
ok
m no longer kiraka
nimekumbuka nw
thaxxxxxxxxxxx
likizo inaisha lin?
 
ahh m sor bwna ..nilisahau
kumbe ni wewe nilikuwa nae pale altaren juz?
st josef?
ok
m no longer kiraka
nimekumbuka nw
thaxxxxxxxxxxx
likizo inaisha lin?

soon
worry not
 
bora kiraka kuliko kuliacha tundu wazi maana kama ni nguo ukiweka kiraka itavalika lakini kama umeecha bila kuziba tundu ..........................
 
bora kiraka kuliko kuliacha tundu wazi maana kama ni nguo ukiweka kiraka itavalika lakini kama umeecha bila kuziba tundu ..........................

Wapenda viraka weye....:loco::loco::loco:
 
Shehe kimbweka mie sindano yangu haichague pa kushona, sharti itiwe uzi basi itashona kwelikweli maalim
 
mweeeeee sasa babawatoto i avatar yako tena jaman..mhh mmh:tape::tape::tape:aya lakin km inakufuraisha lakn !!!!!!!:yield::yield::yield:
 
nyani haoni kundule, we unasema avata ya mwenzio yako huioni
 
unaweza weka viraka vingi hadi baadae vikaanza kuhulizana we umekuja lini mwenzangu? cha muhimu kaza moyo fanya kazi kwa bidii nguo yako isitoboke handle with care eehh
 
mweeeeee sasa babawatoto i avatar yako tena jaman..mhh mmh:tape::tape::tape:aya lakin km inakufuraisha lakn !!!!!!!:yield::yield::yield:

Zinaendana na yako si ndo vzr
 
Chuchumaa juu ya kioo utaliona @ Rose 1980
mmh apana kaka lugha iz uwaga mwiko kwangu
nenda kwa aman
mungu akusamehe
LUGHA IZO KWANGU APANA
BT u can say t again kwa afya yako.
 
Jamani duniani kuna mambo
Kuna wanaume/wanawake wenyewe ni viraka vya mapenzi
Penzi na mwenzio likitoboka tu na usipo wahi kuliziba tayari kiraka anatia timu na kuziba
Tatizo rangi ya kiraka sasa ni tofauti na ile ya penzi
Kuiondoa kazi
Jamani jihadharini sana

mwenzetu pole ........... wanasema usiboziba ufa utajenga ukuta ...........
 
Back
Top Bottom