Virgil van Dijk na Koulibaly Uefa watafute utaratibu mpya wakupata wachezaji bora wa ulaya

Dah wabongo siwawezi yani mechi moja tu Leo umeangalia na unakuja na maoni kuwa beki van dijk n mbovu Hana sifa unajua vigezo walivyotumia kuchagua mchezaji bora

Uwe unafuatilia mpira na kujua stastics Za mchezaji kwa kila mechi kuna vitu Kama huvijui Kaa Kmya kuwa tu mshabiki halafu unaleta na ubaguzi wa rangi mkibaguliwa mnaanza kelele nyiingi ni Tanzania pekee mtu yupo kinjumbi KILWA umatumbini lakn anaweza tolea maamuzi mechi iliyopo wonder Madrid Spain metropolitan na kuona jopo zima halifai
 
Kujifunga ndio sababu duuh! Kumbuka msimu uliopta Koulibaly ni beki bora seia A, VD ni overated km alivyo Maguire tu
 
Halaf akumbuke pia, hyo tuzo alopewa ni kwa ajili ya msimu ule, kama hatoqualify tena msim huu bhas watapewaga hao kina viroboto wao.
koulibaly na mama ako nani kiroboto?
 
Liverpool msimu uliopita tukicheza nao hao napoli walitufunga kwao na sisi tukawafunga kwetu,nenda youtube uone salah alichomfanya huyo kolibaly wenu,weka statistics mkuu usilinganishe kwa mapenzi yako binafsi
nikaangalie editing za YouTube?
 
Kujifunga ndio sababu duuh! Kumbuka msimu uliopta Koulibaly ni beki bora seia A, VD ni overated km alivyo Maguire tu
Koulibaly ndio level za Maguire , beki anayemkaribia VVD kwa sasa ni Laporte tuu
 
koulibaly na mama ako nani kiroboto?
Dah, mama'ngu kaingia hapa!! Mkuu hii si sawa.

Wataalam wa mambo wanasema 'la pulga' ktk lugha ya kiswahili ni 'kiroboto' na Messi naskia alijiita hivyo kwa uwezo wake mkubwa wa kupasua ngome za walinzi na kutupia sana kama vile mdudu kiroboto anavyopenya ngozi na kunyonya damu.

Kuna mdau hapo juu kamtaja huyu gwiji, Messi 'La Pulga/kiroboto' kuwa ndiye alostahiki zaidi ile award alopewa huyu beki wa Liverpool. Nami ndo nkatumia 'viroboto' kwa maana ya Messi, CR7 & maproo wengine ambao wengi wanaona ndo walistahili zaidi yake.

Sasa mama'angu umemletaje hapa!!?
 
I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hv kiukweli ata kama mm nishabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nn mwafrika mwezetu raia wa Senegal Koulibaly? au ndo ubaguzi wa rangi huu?
Sasa unazani uefa wanaangalia makosa ya mechi 1 tu na kutoa uamuzi km sisi?
 
I won't loose much your time but I will go straight foward to the point. Hv kiukweli ata kama mm nishabiki wa Liverpool yule beki wetu kipenzi cha dunia kamzidi nn mwafrika mwezetu raia wa Senegal Koulibaly? au ndo ubaguzi wa rangi huu?
Umeenda kibanda umiza ukaangalia Mechi moja ukaona uje mbio huku.. ndani ya msimu mmoja mchezaji huwa anacheza Mechi zaidi ya 50. Wenzako hawaangalii Mechi moja kama wewe.

BTW kwa Mechi ya jana koulibaly kaupiga mwingi
 
Kwahiyo unahisi lapulga uwa hakosi magoli kwa uzembe?mpira ni mchezo wa makosa hakuna mcheza mpira hasiye kosea,
Tatizo la wabongo wanafikiri wachezaji ni malaika, kwenye mpira makosa yanatokea sana tu, liverpool kwa muda mrefu walikosa beki imara aina ya Vigril
 
Wewe ndo hujui na hujacheza mpira, beki kujifunga kwako unaona ni weakness hiyo ? Vidic, canavaro wote wamejifunga ina maana hawakuwa wazuri?
 
Sijakataa kushindwa nikweli wameshinda Napoli ila kama umeangalia mpira basi utakuwa shaidi kwamba Koulibaly ninamba nyingine.
Basi we ni hater mtakatifu au humfatilii vvd
 
Ume vuta cha arusha
 
Hivyo vigezo ndio sasa vinawapoteza Fifa....hivi leo hii ukitajiwa jina la VD,au Luka Modric..unastushwa na nini ? Lakini Lionel Messi jina ambalo ukilisikia uta pay attention tu.....ifikie pahala mchezaji ateuliwe kwa uwezo wake si kura au vigezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…