Mtokambali
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 218
- 93
Wiki ijayo naelekea dubai nitafaidije huko kwenye ndegeee
Wiki ijayo naelekea dubai nitafaidije huko kwenye ndegeee
kuna haja ya kutoa/kupeana TIPS kuanzia unapoingia pale AIRPORT (madereva) jinsi ya kuminya kile kidubwana cha kuruhusu geti kufunguka/ Kuchukua tiketi, parking, kulipia parking, kuingia sasa kwenye ukaguzi wa awali, kucheck-in (kwa kutumia mashine, ATM pale uwanjani kwa baadhi ya ndege), ku-drop mizigo, kisha ishu za IMMIGRATION (international departure) ukaguzi wa pili na kisha kusubiria kukwea pipa