Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)


hahhahah......poleee!
 
Mara yangu ya kwanza nilipata lift toka dar mpaka Unguja yani Kabla hata sijashangaa vizuri nikaona minazi minazi nikafikiri labda ni kasehemu tu tunatua kisha ndo tunaenda Zanzibar kumbe ndo tayari tumefika, ilikuwa ndege ndogo ya coastal travel safari ilitumia dakika 12
 
Ndege kitu ingine aisee, mimi kuna demu nimemkatia fastjet kwa 57,000 (one way) toka Mbeya anakuja tarehe 20/11/2015 nile mzigo ageuze tarehe 22/11 kuwahi usajili SAUT hapo nako nimekata 57,000 (Dar-MWZ)
 
mambo yamekwishaiva serikalini ndege mtazisikia kwenye bomba Ngosha ndo kashalianzisha kwa miaka 10 mtaishia kupanda MABASI kwenda TABORA MANISPAA au wilaya mpya ya NANYAMBA kusikiliza shida za wananchi
 
Ndege tutababia promosheni za FASTJET tu mengine ndo tusikilizie kwenye bomba. Aisee hii nchi ililiwa miaka 10 iliyopita
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...

ha ha ha ha....
 
TANGAZO: Kwa wafanyakazi wa Umma unapaswa kukaa mita 200 toka airport ilipo yaani in short usikaribie uwanja wa ndege. Hapa MABASI tu
 

Hahaha aisee nimecheka sana
 
Hahahahaaaa Hihihihiiiii Huhuhuhuhuhuuuh atiii nini? Ndege hahaha nimecheka sn
Stak ata kukumbuka maana nusu nijikojolee.... Hahaaahaa 2010 mweeh
 
Hahahahaaaa Hihihihiiiii Huhuhuhuhuhuuuh atiii nini? Ndege hahaha nimecheka sn
Stak ata kukumbuka maana nusu nijikojolee.... Hahaaahaa 2010 mweeh

Aaaah, kuna jamaa yangu alitapika kipindi kile cha fly540
 

Duuh hii kali sana hii
 


Unaruhusiwa kuchukua perfume kwenye handbag lakini isizidi 100ml
 
Mara yangu ya kwanza 2007, ndege ilikuwa British airways, dar to London, siku hio linijamba hadi nataka kulia, hadi leo hii nasumbuka sana kwani tumbo langu hujaa gasi..
 
aisee mimi nimejaribu mara kadhaa kucheck-in kupitia zile AUTO TELLER MACHINE Za pale airport lakini zinazingua au zimewekwa pale mapambo tu

Labda kwa safari za ndani wanawabania, ila kwa safari za kimataifa hizo ndo zinatumika na hazizingui
 
Mm kiukweli Swissair ndo naizimikia haswaaa

Mi pia kwa sasa nataka nipande SwissAir hata kama sio kwenda Afrika japo tu nitoke nilipo kwenda nchi nyingine ila ndani ya Europe nipaone tu na hapo Zurich maana hawa jamaa nauli zao mhhh ni juu sana ukilinganisha na KLM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…