Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

mkuu jimena la muhimu ni kujipanga mimi nimejipanga xmass mwakani 2016 lazima nikasherehekee ZURICH, USWISI hapa nimeshafungua akaunti ya dola kila mwezi naweka 150 USD halafu viji-allowance mshenzi vya kushtukiza natumbukiza humo kwenye akaunti humo.
 

Ntaangalia itakavyokuwa mkuu ila Zurich pananihusu sana, tatizo nataka nifike na SwissAir tu. Ila kama ningesema nipande Norwegian Air au hata SAS ningefika hapo Zurich kwa hela ndogo sana, hawa jamaa nauli zao ni sawa na nauli za treni. Ila ntaangalia bajeti yangu itakavyokuwa mwakani ntafumba macho tu japo niende na Swiss hata kama ntarudi na Norwegian Air
 
TANGAZO: Kwa wafanyakazi wa Umma unapaswa kukaa mita 200 toka airport ilipo yaani in short usikaribie uwanja wa ndege. Hapa MABASI tu

Mmmh mkuu ulivyoshupalia hao watumishi wa umma
 
Niliingia nikaweka mzigo, nikataka kutoka nje kupunga upepo kabla haijaondoka. Kumbe sio kama Ubungo duh
 

Hahahaaaaaaaa!!!!
 
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"

ha ha ha ha.... ni mwaka gani hii, yawezekana tulikuwa nae safari moja wakati naenda kupiga kitabu groningen Univeraity, netherlands. Kuna jamaa alionyeshaga kihoja balaa, ilikuwa mwaka 2010.
 
Mimi ushamba niliutolea kwenye international trip 2009 nikielekea Nairobi kwa KLM, kilichonisaidia zaidi ilikuwa kuwahi zaidi pale DIA na sikukubali kuwa mbali na wale wote tuliokuwa tunasafiri mara baada ya spika za airport kutangaza kuwa tuingie tayari kwa safari, I was so sharp huwezi kugundua kuwa it was my first day.
 
Du kweli ushamba shida. Mbona mimi hayajanitokea haya. Nilipanda ndege kutoka dar hadi Amsterdam then Lyons. Nilipanda klm. Ni gharama lakini ina raha sana.
 
Fastjet ndo ametutoa kimaso maso tulio wengi humu. Ila watu wa Mbeya wao washukuru zaidi FASTJET kwa kubakia ndege pekee inayotua SONGWE AIRPORT vinginevyo wangeishia kuiona Dar kwa usafiri wa FUSO (Samahani lakini).
 
Fastjet ndo ametutoa kimaso maso tulio wengi humu. Ila watu wa Mbeya wao washukuru zaidi FASTJET kwa kubakia ndege pekee inayotua SONGWE AIRPORT vinginevyo wangeishia kuiona Dar kwa usafiri wa FUSO (Samahani lakini).
Unawaonea sana Wanyakyusa!!
 
Fastjet ndo ametutoa kimaso maso tulio wengi humu. Ila watu wa Mbeya wao washukuru zaidi FASTJET kwa kubakia ndege pekee inayotua SONGWE AIRPORT vinginevyo wangeishia kuiona Dar kwa usafiri wa FUSO (Samahani lakini).
Hahahaha tutake radhi
 
Siku ya kwanza kwanu ilikua ni local travel KIA to Mwanza nilipanda na sister do wa kihaya nilishindwa hata kumtogoza maana nilikua naogopa inavyoyumba huko juu harafu kaika ka prcision air na siku hiyo kulikua na mawingu sana.

Wahudumu walipopitisha chakula sikupiga kwa kuogopa, walipopitisha vinywaji nikaagiza juice nikajua ntapewa box zima lol nikawekewa kwenye ka glass kadogo na ikawa ndo hiyo hiyo. niliagiza juice niliogopa upande wa kulia alikua amekaa sister wa kanisani. walioagiza bia waliongezewa nyingine, mie na ushamba wangu nikaishia ka glass kamoja ka juice ya Azam
 
First day nilipanda ndege kutoka KIA hadi Ethiopian airlines kilicho nizingua ni kufunga mkanda
 

Una elimu gani?
 
Kuna dada nilikaa nae siti 1 ndani ya Qatar airways na ilikua mara yake ya kwanza kupanda ndege. Tupo anga za mbali huko mdada mashetani yaka mpanda yani ilikua balaa ,alipigiwa maombi na watu wa dini zote kuanzia waarabu, wahindi, wazungu mpaka blackys. Crazy
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…