VIROJA

VIROJA

Mwanamke siku zote huwa anaamin mme ndie atakaeanza kufa. Kama unabisha mwambie 'hii nyumba nataka tuiuze' utaskia alafu siku ukifa mi nitaishije na watoto?
Siku zote wanawake sijui huwa wanawaza nini juu yetu
 
Back
Top Bottom