Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipiga ya sikio unapigwa ya Jicho.
Akikuuliza unajisikiaje unamuuliza anajionaje?Ukipiga ya sikio unapigwa ya Jicho.
Pima corona ukitest positive kafie kwenu. Full stopBaada ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kuyazuia magari makubwa kuingia nchini kupitia Holili jana, Leo naona pia mkuu wa mkoa Tanga Amezuia magari makubwa kuingia nchini kupitia mpaka wa Horohoro.
Hii ni kutokana na nchi jirani kuzuia madereva wa Tanzania kuingia huko kwa madai kwamba wana eneza korona hata kufikia hatua ya kufunga mipaka sasa imebaki mkuu wa mkoa Arusha kuzuia mpaka wa Namanga na mkuu wa mkoa Mara kuzu.
Dawa ya jeuri ni kiburi kama wao wamekula hela za mabeberu watafute namna nyingine tu ya kuzilipa na siyo kulazimisha ujamaa..#jiwekwerikweri.
Pima corona ukitest positive kafie kwenu msipeleke magonjwa kwenye nchi za watu.Kenyatta ataenda chato akitembea kwa magoti
Kuna kitu kimejificha nyuma ya hii korona inabidi uwe na akili kubwa sana uelewePima corona ukitest positive kafie kwenu msipeleke magonjwa kwenye nchi za watu.
Najua nachokiandika kuna mzozo mkubwa wa kidiplomasia umekuja kwa kivuli cha korona inabidi great thinker kweli kweliBusara itumike,kuna wakenya kibao tz na kuna watz kibao kenya.usiandike tu ilimradi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo cha chattle, Pima corona ukitest positive kafie kwenu Full stop.Kuna kitu kimejificha nyuma ya hii korona inabidi uwe na akili kubwa sana uelewe
NimechekaYaani wafunge miaka mia. Mkenya asijekutafuta hata pipi. Wakenya hovyo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni Tanzania 🇹🇿 inayoitegemea dunia, au no dunia ndio inaitegemea tz?Kenyatta ataenda chato akitembea kwa magoti