Kenyatta atazalisha majambazi Yawe yanakuja kupora chakula usiku Tanzania
Jeshi la polisi kuweni makini
Siyo mwekezaji Tena?Kenya ndio nchi ya kiafrika yenye uwekezaji mkubwa zaidi Tanzania.
Uwekezaji wa Kenya ni zaidi ya Trillion 2 za kitanzania hapa Tanzania.
Losers sio Kenya ni Tanzania.
Tunapopongeza mda mwingine fikiri nje ya box! Don't take too political!Mkikataa kufunga wanapongeza mkifunga wanapongeza hao ndo watanzania wafia vyama
Ila hili ni pigo kwa Kenya, kuna milori kede kede ya kutoka Kenya inapakia mchele kanda ya ziwa.Ukweli ni kwamba tunategemeana sana... Tanzania ni biggest consumer wa Kenyan industrial products wakati Kenya ni biggest consumer wa Tanzania Agricultural products.... we are more related to Kenya than any other East African country...
Rais yupo poa na Yoweri ila sio KenyataHii hatua mbona inaenda tofauti na hotuba ya rais? Au macho yangu?
😁 😁 😁 Una sifuri ya uchumi wewe bila shaka.Tanzania atapoteza nini?
Si unajua Magufuli ni mzee wa jino kwa jino.
Siyo macho yako mkuu, nimemsikiliza rais mwanzo hadi mwisho. Kama rais hana taarifa ya hilo.......ooh!! Ummy atakuwa matatani.Hii hatua mbona inaenda tofauti na hotuba ya rais? Au macho yangu?