Mkuu zamani miaka ya mwishoni ya 80 kuna ndugu yangu ilisemekena alifariki kwa huu ugonjwa lakini ktk cheti chake cha kifo sababu ya kifo chake imeandikwa ARDS,nikagoogle nikaona wameandika Aids Related Disease,sasa naomba niulize inawezekana kweli atakuwa alifariki kwa ugonjwa huo?,manake nakumbuka hardly aligua kwa wiki 3 tu,baada ya hapo akafariki
Nitafika huko baadae nikianza kuongelea. Miaka ya 80 UKIMWI ndiyo ilianza kusambaa Nchini kwetu. Lakini hili swali litajibiwa sana nitakapoongelea uhusiano kati ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Tafadhali fuatilia.
Nani avae hayo mamifuko?Ni kweli maandalizi mazuri hupunguza chance ya maambukizi. But haiondoi kabisa uwezekano. Ndio maana tunashauriwa kuendelea kutumia condoms kwa usahihi
Nitafika huko baadae nikianza kuongelea. Miaka ya 80 UKIMWI ndiyo ilianza kusambaa Nchini kwetu. Lakini hili swali litajibiwa sana nitakapoongelea uhusiano kati ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Tafadhali fuatilia.
yani mi nashangaa, mpaka wagunduzi wa hivyo virusi vyenu feki wanasema kama ukiwa na kinga imara virus hufa vyenyewe (rejea interview ya luc montaignier) sasa nyie madaktar mlokaririshwa tu maandiko mnatoa wap guts za kuzungumzia hiyo fallacy tena kwa kujiamin namna hiyo. Au mna ten % kwa mgao wa mauzo ya ARVs
Nipe lnk hiyo aliyosema plz.. plus you have to know there has been a lot of knowledge on virusi ambayo zamani hatukuwa nayo.
With new light as long as you can show me the proof from different trusted sources nitasoma pia.
Please show me that proof you say unayo.