Visa alivyo kutana navyo mwalimu Nyerere Part 2

Visa alivyo kutana navyo mwalimu Nyerere Part 2

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,114
Reaction score
3,541
Tunaendelea wanajamvi!

Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi alitua kwa muda Jomo Kenyatta international airport. Waandishi wa Habari walipo fahamishwa kuwa Mwalimu yopo pale wakafika kwa wingi kuja kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya rubaa za kisiasa na kiuchumi.

Basi, baada ya kujibu maswali mengi kwa kiingereza maridhawa kabisa, Mwandishi mmoja akaamua kupima IQ ya Mwalimu.

Akamuuliza,Mwalimu wewe umetokea India naomba kuuliza : Umbali kutoka Bombay mpaka india ni kiasi gani?

Mwalimu harakaharaka akamjibu; Ni sawa na kutoka Dar es salaam hadi Tanzania!!!

Waandishi wote walicheka hawakuwa na cha kuuliza zaidi ya kusema KICHWA HIKI MANO MANO!

Mwalimu alijua kujieleza bwana! Hotuba yake kabla ya kuanza vita na Idd amini ilisisimua sana.
Alisema;
Sababu ya kumpiga tunayo
Nia ya kumpiga tunayo ns
Uwezo wa kumpiga tunao
Tutampiga Idd Amini

Watanzania tulifurahi kupindukia tukajivunia kuwa na kiongozi shupavu.
 
Hajatokea bado Rais Afrika mwenye uwezo wa kueleza filosofia na issue ya kisiasa kama Mwalimu Nyerere.
Kuna mwingereza aliwahi kusema , "You'll be lucky to push Julius Nyerere into a corner, he can explain and with logic and reason almost every thing. And when you weigh it, it makes a lot of sense"
 
Hajatokea bado Rais Afrika mwenye uwezo wa kueleza filosofia na issue ya kisiasa kama Mwalimu Nyerere.
Kuna mwingereza aliwahi kusema , "You'll be lucky to corner Julius Nyerere into a corner, he can explain and with logic and reason almost every thing. And when you weigh it, it ymakes a lot of sense"
Kabisa! Kichwa kile kilikuwa habari ya Dunia.
 
Watanzania tulibahatika sana kuongozwa na Nyerere
Tanzania ipo salama, amani, upendo sababu ya mzee
 
Tunaendelea wanajamvi!

Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi alitua kwa muda Jomo Kenyatta international airport. Waandishi wa Habari walipo fahamishwa kuwa Mwalimu yopo pale wakafika kwa wingi kuja kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya rubaa za kisiasa na kiuchumi.

Basi, baada ya kujibu maswali mengi kwa kiingereza maridhawa kabisa, Mwandishi mmoja akaamua kupima IQ ya Mwalimu.

Akamuuliza,Mwalimu wewe umetokea India naomba kuuliza : Umbali kutoka Bombay mpaka india ni kiasi gani?

Mwalimu harakaharaka akamjibu; Ni sawa na kutoka Dar es salaam hadi Tanzania!!!

Waandishi wote walicheka hawakuwa na cha kuuliza zaidi ya kusema KICHWA HIKI MANO MANO!

Mwalimu alijua kujieleza bwana! Hotuba yake kabla ya kuanza vita na Idd amini ilisisimua sana.
Alisema;
Sababu ya kumpiga tunayo
Nia ya kumpiga tunayo ns
Uwezo wa kumpiga tunao
Tutampiga Idd Amini

Watanzania tulifurahi kupindukia tukajivunia kuwa na kiongozi shupavu.
Ndio viongozi kama akina Nyerere waliokuwa mstari wa mbele barani Africa hata kwenye vita Nyerere hakwenda kujifungia Butiama, aliongoza mapambano mstari wa mbele. Pia Nyerere alikuwa akiongoza viongozi wa Africa kwenye masuala ya maendeleo. Leo hii mtu anajificha kwao na hataki kuhudhuria vikao vya wakuu wa nchi za Africa. Kweli tumekosea sana mwaka 2015.
 
Ndio viongozi kama akina Nyerere waliokuwa mstari wa mbele barani Africa hata kwenye vita Nyerere hakwenda kujifungia Butiama, aliongoza mapambano mstari wa mbele. Pia Nyerere alikuwa akiongoza viongozi wa Africa kwenye masuala ya maendeleo. Leo hii mtu anajificha kwao na hataki kuhudhuria vikao vya wakuu wa nchi za Africa. Kweli tumekosea sana mwaka 2015.
Nchi hii inabidi baadhi ya watu wazuiewe kupiga kura. Katiba iseme mpiga kura lazima awe amehitimu kidato cha NNE.
 
cha kushangaza Nyerere ndio rais aliekumbwa na dhahama ya kutaka kupinduliwa mara nyingi
 
Ndio viongozi kama akina Nyerere waliokuwa mstari wa mbele barani Africa hata kwenye vita Nyerere hakwenda kujifungia Butiama, aliongoza mapambano mstari wa mbele. Pia Nyerere alikuwa akiongoza viongozi wa Africa kwenye masuala ya maendeleo. Leo hii mtu anajificha kwao na hataki kuhudhuria vikao vya wakuu wa nchi za Africa. Kweli tumekosea sana mwaka 2015.
yaani kweli umesononeka kabisa rais kukaa chato badala ya magogoni au dodoma!!!

hii nguvu kubwa mnayotumia kuhoji,ndio inafanya hoja ya yeye kuacha ofisi kuendelea kukomaa,sijui mnataka mumvizie mumkabe hapo???
 
cha kushangaza Nyerere ndio rais aliekumbwa na dhahama ya kutaka kupinduliwa mara nyingi
Ni suala la nyakati. Kipindi hicho mambo ya serikali kupinduliwa ilikuwa kama fashion. Siku hizi sio kama kipindi hicho na mambo ya majaribio ya kupindua serikali yamepungua sana.
 
yaani kweli umesononeka kabisa rais kukaa chato badala ya magogoni au dodoma!!!

hii nguvu kubwa mnayotumia kuhoji,ndio inafanya hoja ya yeye kuacha ofisi kuendelea kukomaa,sijui mnataka mumvizie mumkabe hapo???
Angekuwa amekaa Chato halafu akaongoza vizuri mapambano ya hawa virus isingekuwa shida. Atumie njia za kisayansi zinazoeleweka. Cha ajabu ni kuwa amejivika joho la upadri na uganga wa kienyeji hapo hapo. Kweli rais unaacha kuwaambia wananchi njia za kisayansi unakimbilia kuwaambia waombe na kujifukiza? This is too low! Halafu alipoona amegonga mwamba na watu wanakufa kila siku badala ya kubadili mkakati anajaribu kuficha ukweli kwa kupima mapapai na kukataza idadi ya kweli ya wagonjwa na vifo kutolewa. He is just a dumb!
 
Tunaendelea wanajamvi!

Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi alitua kwa muda Jomo Kenyatta international airport. Waandishi wa Habari walipo fahamishwa kuwa Mwalimu yopo pale wakafika kwa wingi kuja kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya rubaa za kisiasa na kiuchumi.

Basi, baada ya kujibu maswali mengi kwa kiingereza maridhawa kabisa, Mwandishi mmoja akaamua kupima IQ ya Mwalimu.

Akamuuliza,Mwalimu wewe umetokea India naomba kuuliza : Umbali kutoka Bombay mpaka india ni kiasi gani?

Mwalimu harakaharaka akamjibu; Ni sawa na kutoka Dar es salaam hadi Tanzania!!!

Waandishi wote walicheka hawakuwa na cha kuuliza zaidi ya kusema KICHWA HIKI MANO MANO!

Mwalimu alijua kujieleza bwana! Hotuba yake kabla ya kuanza vita na Idd amini ilisisimua sana.
Alisema;
Sababu ya kumpiga tunayo
Nia ya kumpiga tunayo ns
Uwezo wa kumpiga tunao
Tutampiga Idd Amini

Watanzania tulifurahi kupindukia tukajivunia kuwa na kiongozi shupavu.
Yaani miaka yote aliyotawala Mwl,umebahatisha kupata visa vitatu tu?.Bora ungekaa kimya uhadithie ukoo wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio viongozi kama akina Nyerere waliokuwa mstari wa mbele barani Africa hata kwenye vita Nyerere hakwenda kujifungia Butiama, aliongoza mapambano mstari wa mbele. Pia Nyerere alikuwa akiongoza viongozi wa Africa kwenye masuala ya maendeleo. Leo hii mtu anajificha kwao na hataki kuhudhuria vikao vya wakuu wa nchi za Africa. Kweli tumekosea sana mwaka 2015.
nimefurahi kuona umetubu dhambi kwa kukubali kosa,kosa lililobaki unalotakiwa kutubu ni kumfananisha meko na nyerere (kama ulilitenda maana kuna watu walitenda)
 
nimefurahi kuona umetubu dhambi kwa kukubali kosa,kosa lililobaki unalotakiwa kutubu ni kumfananisha meko na nyerere (kama ulilitenda maana kuna watu walitenda)
Kweli kabisa pale nilipofikiri 🔒 🔒anaweza kufananishwa na mwalimu nimekosea. Hawa ni watu wawili tofauti kabisa, mmoja anaongozwa na fikra pevu mwingine anaongozwa na mitishamba.
 
Kweli kabisa pale nilipofikiri 🔒 🔒anaweza kufananishwa na mwalimu nimekosea. Hawa ni watu wawili tofauti kabisa, mmoja anaongozwa na fikra pevu mwingine anaongozwa na mitishamba.
yani tembelea media za nje uone tunavo repotiwa😂 mabaya yote yetu
 
Mwalimu ataendelea kuwa mwalimu, aliweza kujitahidi sana wakati wake kuiweka nchi yetu salama na kamwe hatatokea kiumbe yoyote kutoka kwa mabebebru kutuyumbisha.
 
Back
Top Bottom