Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo kama unataka mfano kununua kitu kwa dolla let us say 100, na wewe ukaweka Tsh, je bado italipa na wewe ukapata huduma kam ulaya?me natumia zote kwenye mambo tofauti
visa card ni bora zaidi maana hata hela inajitegemea kwenye kiakaunt chake ila kuna baadhi ya huduma ukishalipia mpaka msumbuane kuomba wakufungulie mfano showmax
mastercard ya airtel iko poa sana tu plus ni chap kwa haraka hakuna complication tatizo linakuja unaweza kuta kama ni kifurushi kimeisha bila kujua wanakata hela direct kwenye airtelmoney yako
ndiokwa hiyo kama unataka mfano kununua kitu kwa dolla let us say 100, na wewe ukaweka Tsh, je bado italipa na wewe ukapata huduma kam ulaya?
mihimu ni namba, security code(CVV) na exp. datekwa hiyo kama unataka mfano kununua kitu kwa dolla let us say 100, na wewe ukaweka Tsh, je bado italipa na wewe ukapata huduma kam ulaya?
asantemihimu ni namba, security code(CVV) na exp. date
mimi ni airtel maana pesa wanavuta kwa airtel mny moja kwa moja na kama ikigoma basi pesa inakuwepo.Wadau, nataka kupata uzoefu wenu ,, ni card ipi ya online unawezaitumia kulipia huduma mbalimbali za mitandaion. mfano unataka kulipia kwa dolla ila umeweka hera kwa Tsh etc, je usalama wake.. Naomba wazoefu wasaidie kushare uzoefu