SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Sawa sawa mkuu EMT nimekupata. Peace!!Kuna tofauti ya kueleza vizuri na kueleweka na kujibu swali. Mimi sijakataa kuwa hakueleza vizuri. Ameelezea vizuri sana ufanano wa hizi card kwenye matumizi. Lakini katika kueleza vizuri huko, hakujibu swali lililoulizwa. Swali linataka tofauti ya hizo card. Rudia post yake ya kwanza then list tofauti alizozielezea vizuri. Kama kulikuwa hakuna tofauti then angesema hakuna.
Zote ni kadi za benki zinazorahisisha matumizi ya fedha. Zote ni kampuni za Kimarekani. Unaweza ukazipata katika namna mbili; kama debit card au kama credit card.
Debit card inachukua nafasi ya pesa taslimu. Yaani badala ya kubeba hela na kuzitumia ktk malipo yako, unaweza ukatumia debit card iliyounganisha moja kwa moja na checking account yako. Ukinunua kitu au huduma basi unaichanja tu hiyo debit card yako na hela zinatoka moja kwa moja kwenye akaunti yako kwenda kwa huyo unayemlipa. Hii inahitaji kimashine cha kuchanjia. Pia unaweza kulipia hivyo kwa njia ya simu au mtandao.
Credi card ni kama mkopo. Badala ya kupewa mkopo wa pesa taslimu unapewa ki-card hicho badala yake. Na chenyewe unakitumia kama ilivyo debit card lakini tofauti ni kwamba hela itokayo kwenye credit card si yako. Ni mkopo na hivyo itabidi uulipe kwa kadri utumiavyo (ukopavyo).
Nimeeleweka?
Okay, I'll give you that. I made an ass of myself. I assumed. But my contention that they are both fundamentally the same in terms of usage still stands.
Nikuulize - kwenye matumizi, kimsingi wewe unaona kuna tofauti?
As a user of those cards you're perfectly right to say that they fundamentally the same. As far as most consumers are concerned, there is no real difference between the two. But a retailer will tell you that they have some differences as well.
Kaka ulivyoeleza inaonekana wewe ni mfanyakazi wa Bank of America, Wells Fargo au Chase (kama sio nitaomba resume yako niisogeze utapata kazi nao)....nimependa maelezo yako yanakita pembe zote yaani kwa mtu yeyote. Nadhani wengi watakuwa wameelewa vizuri.....kwa maelezo yako....Thanks
Niliandika hivi
Halafu nikauliza
Na wewe ukajibu ifuatavyo
Sasa hapo huoni kama na umekubaliana na mimi. Bundesliga ya nini sasa kaka? Kwani mtu akiuliza tofauti ya vitu halafu wewe umjibu kuwa kimsingi hivyo vitu havina tofauti utakuwa hujamjibu swali lake?
Yeye kauliza tofauti ya hizo kadi mbili (na kama ulivyobainisha, swali lilikuwa la ujumla mno). Mimi nikajibu kimsingi hazina tofauti hususan kwenye matumizi yake. Sasa swali halijajibiwa kivipi hapo? Angalia jibu lako mwenye hapo pekundu na hapo palipopigiwa mstari.
Zote ni kadi za benki zinazorahisisha matumizi ya fedha. Zote ni kampuni za Kimarekani. Unaweza ukazipata katika namna mbili; kama debit card au kama credit card. Debit card inachukua nafasi ya pesa taslimu. Yaani badala ya kubeba hela na kuzitumia ktk malipo yako, unaweza ukatumia debit card iliyounganisha moja kwa moja na checking account yako. Ukinunua kitu au huduma basi unaichanja tu hiyo debit card yako na hela zinatoka moja kwa moja kwenye akaunti yako kwenda kwa huyo unayemlipa. Hii inahitaji kimashine cha kuchanjia. Pia unaweza kulipia hivyo kwa njia ya simu au mtandao. Credi card ni kama mkopo. Badala ya kupewa mkopo wa pesa taslimu unapewa ki-card hicho badala yake. Na chenyewe unakitumia kama ilivyo debit card lakini tofauti ni kwamba hela itokayo kwenye credit card si yako. Ni mkopo na hivyo itabidi uulipe kwa kadri utumiavyo (ukopavyo).
Ulichofanya wewe ni kuelezea utofauti uliopo kwenye back end. Lakini kwenye front end unakubaliana na mimi kuwa hakuna tofauti za kimsingi. Sasa sijui tunapishana wapi. Kaazi kweli kweli. NB: Sijanukuu hayo mengine kwa sababu ni redundant.
NB: Sijanukuu hayo mengine kwa sababu ni redundant.
Hapo mi naona nyota tu sijaelewa yupi ni muongo na yupi ni mkweli. Ila nilichokisoma kuna mmoja analazimisha kuwa alichokiongea yeye ni kweli na sio wengine. Kuna watu pia wanashabikia bila kuelewa ama kuwa na uhakika. kazi kwako
Hapo na wewe umetuongopea.Inawezekanaje kwenda kwenye international banks halafu upate Tanzania shillings?.Hapo kwenye red umesema uongo. Kama ilivyo master card ndivyo ilivyo Visa card. Kazi zake ni zile zile. Unaweza kuitumia Visa kadi kupata cash kutoka kwenye ATM yoyote ila utapata local currency za sehemu ulipo. Kama account yako iliyounganishwa na Visa card yako iko kwenye Euro, ukija Tanzania unaweza kwenda kwenye ATM za international banks na kuchukua pesa lakini kwa Tshs.
Tiba
Hapana!.Mimi nadhani CRDB waligundua udhaifu fulani kwenye VISA wakaamua kuingia MASTERCARD wakidhani tatizo litaisha.Lakini ukweli ni kama kuruka jivu ukaangukia moto.wakati na activate wanipe PIN # ilibidi niwapigie simu nikawambia kwamba awali nilikuwa na tembo card visa card, mbona mara hii wamenitumia mastercard! yule shori anaitwa " jully" akaniambia kwamba awali card zao zilikuwa na matatizo na visa card , ni kweli kuna kipindi ilifika nikitumia CRDB VISA card ilikuwa inagoma labda hadi nirudi kesho yake ( siongelei kuhusu tanzania , nikiwa tanzania halijawahi kunikuta hili tatizo)
nadhani ndio sababu wameamua kutoa mastercard
anyways its all good as long mi biashara zangu zinaenda fresh! since nishajua hakuna tofauti kati ya hivi vitu viwili! sina tatizo nao , maana nilitaka niwarudishie card niwakomalie nataka VISA sio MASTERCARD
At the end of the day, it will be "Have you understood the question?"
Tutumie tu ATM card za kawaida, account zenyewe ni za mishahara tu, lakini ATM kibao za nini zote? Ili na wewe uonekane una VISA/MASTER CARD? salio lenyewe 300,000/- Du wabongo bwana kwa kujikweza. Sijui labda ni sifa kumiliki kitu ambacho huna matumizi nacho ama si lazima sana kuwa nacho. Kwa nini mtu una ATM ya CRDB ukachukue hela kwenye ATM za NBC wakati matawi ya CRDB yako kibao?
Tutumie tu ATM card za kawaida, account zenyewe ni za mishahara tu, lakini ATM kibao za nini zote? Ili na wewe uonekane una VISA/MASTER CARD? salio lenyewe 300,000/- Du wabongo bwana kwa kujikweza. Sijui labda ni sifa kumiliki kitu ambacho huna matumizi nacho ama si lazima sana kuwa nacho. Kwa nini mtu una ATM ya CRDB ukachukue hela kwenye ATM za NBC wakati matawi ya CRDB yako kibao?
kaka wengine ni wafanyabiashara kati ya bongo na ughaibuni! wewe utaona haina maana lakini zinasaidia sana tena saaaaana
You missed the point!!!!!!
Sasa inakuwaje mtu utumie kadi usiyoielewa? Kabla hujaingia kwenye huduma fulani inatakiwa kwanza ujue hiyo huduma unayoingia. Kwa jinsi watu wanavyotoa maelezo humu inaonekana wazi kwamba wengi wao wametumbukia ktk mkumbo tu. Mtatapeliwa na wanigeria angalieni sana
Ili na wewe uonekane una VISA/MASTER CARD? salio lenyewe 300,000/- Du wabongo bwana kwa kujikweza.
Umeeleweka Mkuu!Zote ni kadi za benki zinazorahisisha matumizi ya fedha. Zote ni kampuni za Kimarekani. Unaweza ukazipata katika namna mbili; kama debit card au kama credit card.<br />
<br />
Debit card inachukua nafasi ya pesa taslimu. Yaani badala ya kubeba hela na kuzitumia ktk malipo yako, unaweza ukatumia debit card iliyounganisha moja kwa moja na checking account yako. Ukinunua kitu au huduma basi unaichanja tu hiyo debit card yako na hela zinatoka moja kwa moja kwenye akaunti yako kwenda kwa huyo unayemlipa. Hii inahitaji kimashine cha kuchanjia. Pia unaweza kulipia hivyo kwa njia ya simu au mtandao.<br />
<br />
Credi card ni kama mkopo. Badala ya kupewa mkopo wa pesa taslimu unapewa ki-card hicho badala yake. Na chenyewe unakitumia kama ilivyo debit card lakini tofauti ni kwamba hela itokayo kwenye credit card si yako. Ni mkopo na hivyo itabidi uulipe kwa kadri utumiavyo (ukopavyo).<br />
<br />
Nimeeleweka?
Watu pori kwa kujigamba. Ona...., lasima ataje eti "platinum" ili aonekane ni saidi. Ndio maana siku sote mnaishia mwisho mbaya na nyumbani mnashindwa kujenga. Kwa mara nyingine tena nasema kyasaka hamwoa mwanangu....Huo ni uongo! Mimi ninazo zote, Mastercard na Visa (check card and platinum check card, respectively). Na nina uwezo wa kuchukua hela katika ATM yoyote ile. Hata zile ATM zisizo za benki yangu. Nikichukua hela kwenye ATM ambazo si za benki yangu natozwa ada ndogo.