Visa vilivyowahi kunitokea maishani

Na Mimi utanitunuku lini momy.. Kwanza inaonesha we ni wakwetu
 
Swala la harufu sikubaliani nalo maana jamaa asingeweza kuzamia mpaka uvinza,,, kingine nakupongeza maana ingekua mwingine angeshaanza kusingizia jamaa Alikua kiba100
 
We huolewi ukawa unakula raha mazima.mwisho wa zambi yyt huwa si mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Auz
Wanawake kujeni msome kozi hapa....
 
Taratibu, usije ukajikuta kwenye kundi linaloitwa changudoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda ulilia kama chura ndio maana jamaa alikimbia....
mapenzi ya uzeeni hasara sana


Mbo comment nyingi sana....ha ha ha ha,....njoo bathi na wewe uone kama ni harufu ama bwawa...maana si kwa comments hizo. I want to prove you wrong.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…