ila kuna kuzeeka, nani atakutunza nguvu zikianza kupungua?, inabidi upate mtoto wako wa kukuhudumia
Ulivyoanza kuruhusu migegedo umeelezea kivivu sana
Hata harufu natural haipo? (Shombo lazima)Sijajua kwa kweli.
Ila kwenye kunuka hapana
Nipo vizuri sana kwenye usafi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh
Hiyo namba nne mmoja wenu alikua na kasoro. Wewe au yeye [emoji1][emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiasi chake. Si unajua pale ndio kwenye ladha yenyeweUlifaidi [emoji39]
Mkoani huko viunga vya London sikujui aiseeEnglishlady, hizo mbao mlikuwa mnazitoa viunga vya London na kuzipeleka wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji elimu ya Ukimwi mkuuduuhh!!. Mlipitia kituo cha afya kwanza au mlijipima kwa macho
Nisaidie na mimi nijue
AbeeeMiaka miwili iliyopita pm zangu ulizipotezea huenda haya yasingekufika.
Jamaa kazingua sana, hata kama alikuta tatizo kwenye ofisi yako alipaswa avumilie na aje kukueleza taratibu ili ushughulikie hilo tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mtoto mrembo najidai nae mwenyewe mtaani.ila kuna kuzeeka, nani atakutunza nguvu zikianza kupungua?, inabidi upate mtoto wako wa kukuhudumia
Kama habari hii ni ya kweli, imekuathiri sana.
Utakosa imani na wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeeleza tu kwa kifupi lkn nimeelewekaUlivyoanza kuruhusu migegedo umeelezea kivivu sana
My life is mine to remember
Natest fleva tofauti tofauti.Duh umemlea mtoto wamwanamke mwenzako mpaka Kawa namaisha yake wewe bado2 unacheza namiboo tofauti tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app