Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
- Thread starter
-
- #141
Unataka unipe ushauri?Tatizo la JF mtu akileta uzi wanaanza kumfukunyua wee wanafukunyua mpaka nyuzi za zamani.
Yani ni balaa.
Ila dada yangu Eblish lady ni pm tuongee kiutu uzima. Watoto watakuumiza kichwa bure
Labda alikuta papuche inatema. Akaona isiwe tabuPole aiseee. Mtu akutafune halafu akutoreke loji? Maumivu juu ya maumivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kutaja kwa sababu Sina udhaifu Kama ulio nao wewe wa kuja kujianika hapa na id yako feki
Wanakuja kula raha shida iko wapi bwana, mbona wataka kuleta komplikesheni nilizokuwaga nazo mimi na leo nimebreak the rules...
Acha wivu bwana wee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa lakini fahamu unazidi kuwa dharirisha wanawake wenzio humu
Wanakuja kula raha shida iko wapi bwana, mbona wataka kuleta komplikesheni nilizokuwaga nazo mimi na leo nimebreak the rules...
Acha wivu bwana wee
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo sijaanza Mimi na wala sitakuwa wa mwisho.Sawa lakini fahamu unazidi kuwa dharirisha wanawake wenzio humu
Nimeacha mama. Nami nakuja nijilie raha kwa amani kabisa. Nimeacha komplikesheni[emoji23]
Wapo wengi tu wananitafuta nachagua.Kama muda wote ulikua bado haujaonjeshwa utamu basi now ushaujua ko ni ngumu tena kuacha au utakua unaungama lakini akitokea baharia kakuelewa unamtunuku bila hiyana.Hapo ukute enzi hizo wanaume walijigonga ukawabania now unafanya kuwatafta wewe sasa.
sawa sawaWapo wengi tu wananitafuta nachagua.
Na si kwamba sikuwahi onja utamu, ha ha ha
Ila hujaelewa tu post yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi naona nimekuudhi baby naomba ruksa yako nije nikuombe msamaha inbox mimi mzee mwenzio
ngono ni sawa tu na kula chakula ama kinywaji tu,
Yaweza kuwa hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85]Yani point namba nne imeniacha hoi
Asa kwanini aliingiza akatoa akaaga kwenda kula hakurudi?ama ndio zile kashfa zao za pussy kunuka?
Mjukuu uko MP?!?