Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Hujasikia kuna corona?
Hujasikia kinga ya Corona ni mabungo yenye pilipili ile ya unga?
Ngoja nikutumie social distance hukohuko uliko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujasikia kuna corona?
Mungu anijaalie nipate wangu sitaki mambo ya English lady.
Nimesema taja visa vyako kama hivi. Hayo mengine yakoHujamalizia kwenye conclusion sasa tufanyeje Sasa madomo zege ambao hatujui kujiongeza
Inaambukiza kupitia michubuko.Nilivyosoma mimi nimeona kwamba it is transmitted through sexual intercourse, na hiyo ya kunyonywa ni moja ya intercourse, ndio maana naomba hiyo elimu nyingine uliyonayo wewe nijifunze zaidi
Kwasababu nimesema si kompliketi maisha basi naenda na kila mtu?Kuna haja kubwa na mm unaipe mechi ya kirafiki au kama wadau wanavyopenda kusema unipe ni ichakate papuchi
GunFire
Sio lazima ujifunze kila jambo. Mengine ni kujua tu dunia inavyoendelea na walimwengu.story yako inafunzo gan
Honestly, nimejiskia vibaya na nimeona huruma sana.
Nimekuonea huruma mkuu sijui kwann though.
Ha ha haHaahahaa...! Jamaa alikutana na mtera
Kwani kuna ubaya gani?Hata kama una Uhuru kiasi gani hukustahili kusimulia haya. Tunza tu moyoni
Mbona na yeye tu ndio alikimbiaUtakuwa una matatizo ambayo hayaonekani kwa nje
Perhaps una usafi hafifu wa mwili,kinywa na meno.
Jichunguze vizuri utajigundua mapungufu/kasoro zako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app