Yani point namba nne imeniacha hoi
Asa kwanini aliingiza akatoa akaaga kwenda kula hakurudi?ama ndio zile kashfa zao za pussy kunuka?
Cheers
Hapa naweza msaidia mtu
Iko hivi,
1. Mwanamke ukishaingiliwa bao la kwanza, nyanyuka nenda chooni kajioshe vizuri uke wako njoo subiria round ya pili, shahawa zikigandiana husababisha harufu mbaya ya uke
2. Ikiwa umesafiri umbali mrefu kwenda kugongwa, mathalani umetoka Mbezi mwisho ukaenda Mbagala Zakiem, mbilinge mbilinge za usafiri na jua kali zikapelekea ukatokwa na jasho, ukifika huko kwa mwanaume wako usikubali akugonge kabla hujaoga, mwambie acha nioge kwanza, huko bafuni osha k yako vizuri.
3. Epuka kuvaa chupi ambazo ukijamba zinazuia harufu kutoka kwa haraka, kuzurura kwa harufu hiyo hupelekea k kunuka
4. Epuka kuvaa pedi moja kwa muda mrefu sana, kama wewe ni mfanyakazi au mwanafunzi, hakikisha unapoenda kazini au shuleni/chuo unabeba pedi zako za kubadilisha ukiwa hukohuko, kuvaa pedi kwa muda mrefu hupelekea k kunuka
5. Wanawake ni watu ambao wanaweza wakaugua magonjwa ya zinaa bila wao kujijua, hivyo jenga mazoea ya kwenda kupima mkojo wako angalau kila baada ya miezi mitatu ili uweze kupata tiba sahihi kwa wakati. Magonjwa ya zinaa pia hupelekea k kunuka.
6. Hakikisha mwenza wako anatumia kondomu kwa usahihi, baadhi ya vilainishi ambavyo mwanaume anaweza akatumia ikiwemo mafuta ya kujipaka, yanaweza kukuletea athari mbalimbali ukeni ikiwemo harufu mbaya
7. Uvaaji wa chupi kwa muda mrefu, mtoto wa kike jitahidi uvae chupi atleast mbili kwa siku, utakayoshinda nayo isiwe ndio hiyo utakayolala nayo
8. Acha usanii kwenye kuoga, mtoto wa kike unaenda kuoga bafuni na maji ndoo ndogo tena iko nusu, oga utakate vizuri, uchafu sio sifa.
9. Nyoa mavuzi, kichaka hicho ni maficho ya bacteria, ikibidi nyoa kila unapoenda kuoga, jikaushe vizuri, jipake au jifukize manukato yatakayokufanya ujisikie fresh.
10. Usitumie choo kichafu, hakikisha choo unachochuchumaa kujisaidia ni kisafi hasa, mwaga maji baada ya kutumia choo ili kumlinda ajae, osha uke wako vizuri baada ya kujisaidia(kukoja/kunya), kausha uke wako. Usivae chupi ikiwa uchi una majimaji.
11. Kwa wale mnaojichua, hakikisheni mnaosha uke wenu mkishamaliza kujichua vyema, usilale hivyo hivyo.
12. Kama tayari unatatizo la kunuka k, fika hospitali, muone daktari, mueleze tatizo lako, atachukua vipimo, utapata tiba sahihi na utapona, baada ya hapo zingatia ushauri huu.
13. Umewahi kukatiza mtaani ukakuta kuna dampo au mfereji ulioziba unanuka kinoma mpaka ukaziba pua yako? Lakini pembeni kuna mama anakaanga mihogo na kuna wana kibao wanatia stori huku wakisubiria mihogo iive wale hapohapo. Yes, iko hivi, pua inatabia ya kuzoea mazingira, yule mama na wale vijana wala hawahisi kama pale kuna harufu mbaya inayochukiza, wanajionea sawa tu, na wewe unaepita huku unaziba pua wanakuona una mashauzi tu. Hivyo hivyo katika miili yetu, unaweza ukawa unanuka mdomo, kikwapa, uchi au hata nyayo lakini pua yako kwakuwa imeshazoea hiyo harufu, inakupa taarifa kuwa kila kitu kipo sawa boss, sasa siku mtu mwingine akikuvua chupi ndipo anapohisi utofauti, mwenye mapenzi ya kweli na wewe atakupigania upone hilo tatizo, baharia atafanya kama alichomfanyia mleta mada, speed nyingi tena bila kugeuka nyuma.
Chukua hatua, acha kujiona huna tatizo wakati unaumwa na unahitaji matibabu na tiba zipo, kujikomelea perfyumu kali wakati hujaoga ni kutusababishia uvundo usiomithilika
Ndimi
Iamokay
#CORONA*IPO*JIHADHARI