Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Mie Hawa watu huwa najiuliza akili zao huwa wanaziweka wapi, yaani huwa ni zero kabisa.
Mfano
1. Kuna mdada mmoja alikuwa kukaa meza ya jirani na jamaa yake sasa wakaagiza supu ya utumbo si unajua Arusha hii supu kila kona ipo basi yule dada aliinywa Ile supu kwa muda zaidi ya nusu saa, sasa nikajiuliza hapo anakula mafuta au anakunywa.
2. Leo wakati nacheki game ya Arsenal na Chelsea basi kaja jamaa mmoja big na mwanamke wake. Basi jamaa anagonga makali mwanamke chupa ya St. Anna na kiglass chake basi nyama ikaja yaani mwanamke anakula huku akichezea ki Itel cha tochi kuanzia dakika 36 ya mchezo wa Arsenal mpaka kipindi cha pili dakika ya 59 na baridi ya Arusha ile nyama sijui ilikuwaje.
Hawa ndugu imenitokea kuwatupia mijicho kila ninapokutana nao sehemu za moja mbili tatu.
Tupe na wewe huko huwa wanafanyaje hawa dada zetu.
Mfano
1. Kuna mdada mmoja alikuwa kukaa meza ya jirani na jamaa yake sasa wakaagiza supu ya utumbo si unajua Arusha hii supu kila kona ipo basi yule dada aliinywa Ile supu kwa muda zaidi ya nusu saa, sasa nikajiuliza hapo anakula mafuta au anakunywa.
2. Leo wakati nacheki game ya Arsenal na Chelsea basi kaja jamaa mmoja big na mwanamke wake. Basi jamaa anagonga makali mwanamke chupa ya St. Anna na kiglass chake basi nyama ikaja yaani mwanamke anakula huku akichezea ki Itel cha tochi kuanzia dakika 36 ya mchezo wa Arsenal mpaka kipindi cha pili dakika ya 59 na baridi ya Arusha ile nyama sijui ilikuwaje.
Hawa ndugu imenitokea kuwatupia mijicho kila ninapokutana nao sehemu za moja mbili tatu.
Tupe na wewe huko huwa wanafanyaje hawa dada zetu.