Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Historia ya babu zako unaijua mkuu?1. Daudi alimuua mmoja wa Majenerali wake aitwae URIAH ili amchukue mke wake BATHSHEBA.
2. AMNON mtoto wa Daudi akambaka Dadake wa Kambo TAMARI mdogo wa ABSALOM.
3. ABSALOM akamuuwa Kakake wa kambo AMNON kwa kumbaka dadake.
4. ABSALOM akala njama ya kumpindua DAUDI babake. Jaribio likashindwa akauwawa vitani.
5. ABSALOM akawala masuria wa babake DAUDI.
6. SULEMANI akamwua Kakake wa Kambo ADONIA kwa wivu wa kutaka kumwoa ABISHAGI aliyemtunza Mfalme DAUDI hadi kifo.
UBAYA UBWELA😎
2SAMWELI 11
2SAMWELI 13
2SAMWELI 15
2SAMWELI 16:22
1WAFALME 2:24
Mtego huu..Anayemtaka mke wangu aniambie, hata namba naweza nikamtumia.
Ni mnene
Tako analo ila sio round shaped
Mweusi
Sio mrefu sana wala sio mfupi
Gauge inasoma vizur, bado japo sio mnato ila ina tight
Age 36
Uwe na hela japo kidogo sio nying ku support Minimum bajet for household yake 100k per week, as running cash (weka mbali mahitaji mengine yoote ambayo yanatakiwa yawepo tu ndani)
Pia hii ni nje ya matunzo na matumizi yake binafsi.
NB
Usiogope kabisaaa kufumaniwa.. sitawafumania.
NASOGEZA KISA:
Mwaka 2015 kwenda 16 hivi pale Tanga palitokea jambo baya sana juu ya mwanamke, kulikuwa na mtu mmoja mwenye cheo upande wa bahari pale Tanga, sasa kama mjuavyo vyeo huleta fedha na jeuri pia.
Sasa pale bandarini kulikuwa na hawa wadada wanaouza chakula, kulikuwa na kidada kirembo haswa, hivyo yule boss mkuu pale wa maji ya bahari inasemekana akawa anakitafuna.
Kama tujuavyo kwa mtu mweusi atakunyima vyote ila atakuja na neno "UNAKIFUA"?? Ndipo wafanyabiashara ya chakula wenzie wakaenda kumtonya jamaa kwamba mali yake inaliwa na boss mkuu.
Kijana akapata ujasiri wa kwenda mpaka ofisini kwa yule boss na kumueleza yote na kukili kwamba yeye ameambiwa, tujuavyo waswahili basi yule boss akatoa kila aina ya neno na vitisho juu, yule kijana akijuridia zake nyumbani.
Yule dada na mzee yule penzi lipo kwenye line, jamaa akaenda kuwaeleza wafanyakazi wa chini, na kuwaambia"Boss wenu anatembea na mke wangu, nimemuonya lakini amenikashifu, hivyo basi nawapa taarifa na nyinyi mnifkishie kwamba yeye anafedha kama alibyosema na mimi nina njia zangu".
Penzi kitovu cha uzembe huku hawasikii la muazini wala mnad swala, penzi linaendelea tena bint yule kuanza kuonyesha dharau kwa mumewe.
Basi kijana kaingia field, yule boss akapigwa kitu akapalalaizi, yule mzee akamtafuta yule kijana mpaka na kutaka kumpatia gari lakini kijana hakutaka mazungumzo yeyote.
Kama mwenyeji wa Tanga hasaa mitaa ya bandari unaweza kukisikia kisanga hiki. UKWELI USIOPINGIKA, WATU WAMEGAWANYIKA HIVYO UKIKUTANA NA MTU MWENYE KISASI BASI UJIANDAE HASWA.
TUKAE MBALI NA WAKE ZA WATU, HATA KAMA MMEKUTANA BARABARANI ILA KUNA VIASHIRIA VINGI TU WAKAT MNAWASILIANA UTAVIGUNDUA
Ahahah kwann chief. Mimi ananipasuabkichwaa sasa nataka nimgawe bure tuMtego huu..
Na wanavyopenda magari sasa!?Mungu anisamehe nimetoka kumla juzi kwenye gari alianza kula koni mwenyewe 😭
Tafuta hela mkuu ndoa yenu si ya miaka 18 sasa!?Ahahah kwann chief. Mimi ananipasuabkichwaa sasa nataka nimgawe bure tu
Huwa hakuna namna ya kuhide contents sensitive kama hizi?
Ahahahahaha...sasa ishu sio pesa pekee ndio tatizo. Mwanamke akishakua hana adabu unaku drain hata wewe kwenye harakat ya kutafuta hizo pesa ndio tatizoTafuta hela mkuu ndoa yenu si ya miaka 18 sasa!?
Komaaaa
Kuna comment yako siku moja ulikuwa unmsifia mkeo sijui mmedumu muda mrefu bila tatizo n.k vipi sasa mbona unalialia humu au ndo ile ukisikia yalaa ujue imeliwa 🤣🤣🤣Ahahahahaha...sasa ishu sio pesa pekee ndio tatizo. Mwanamke akishakua hana adabu unaku drain hata wewe kwenye harakat ya kutafuta hizo pesa ndio tatizo
Tumia akili dogoHuwa hakuna namna ya kuhide contents sensitive kama hizi?
Ukimaanisha nini mkuu?Tumia akili dogo
Ahahahaj..sijawah kumsifia mkuu, huwa najisifu mimi kumvumilia muda mrefu. Wangekua vijana nyie wa leo mngeshakata roho kitambo. We tafuta uone mahala kama nimemsifiaKuna comment yako siku moja ulikuwa unmsifia mkeo sijui mmedumu muda mrefu bila tatizo n.k vipi sasa mbona unalialia humu au ndo ile ukisikia yalaa ujue imeliwa 🤣🤣🤣