Visa vya kweli dada wa kazi wachawi. Ambatana nami

Visa vya kweli dada wa kazi wachawi. Ambatana nami

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute.

Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3).
1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua ya kustawi majani yakiota alitumia fursa ya kupqlilia mboga kuharibu kila mmea dawa, iwe alovera, iwe mlonge, iwe dawa za tumbo, kikohozi, za watoto wachanga, za macho. Dada siku akienda anakuta lahaula la kwata la kuchumpa la kumparamia. Imeisha hio. Huyu dada alistukq mwenyewe akamtimua baada ya kuvumilia sana sana.

2. Huyu yeye ni hatari alikuwa anawaalika na kuwaita wazazi wake kichawi kila siku muda wa chakula jioni wazazi wanafika kwa Dada wanakula msosi na wanafungashiwa unga mchele, mayai nq kuku wqnaondoka kichawi wanasepa bila dada kujua. Shangazi alikuja kwa Dada akihisi jambo pastor akaletwa housegirl akalipuka akasema yote wakamtimua.

3. Huyu yeye alikuwa anamfundisha uchawi mtoto wa Dada anamchukua hadi kwa wazazi wake na mabaharia wengine wa kichawi, shida ikaja mtoto akawa anashindwa hayo mafunzo yao, baadae toto akaanza kuumwa, sisteri akaleta mchungaji katika maombi housegirl akalipuka akasema yote na akasema huku kuumwa ni maandalizi ya kumla baada ya kuona anashindwa kufuzu tuisheni ya uchawi. Dada akamtimua.

Karibuni leteni visa vyenu tushee Mandingo ya kichawi ya housegirls.

Kwa hayo machache mimi ni.

Baharia wenu ndugu. Wadiz
 
Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute.

Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3).
1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua ya kustawi majani yakiota alitumia fursa ya kupqlilia mboga kuharibu kila mmea dawa, iwe alovera, iwe mlonge, iwe dawa za tumbo, kikohozi, za watoto wachanga, za macho. Dada siku akienda anakuta lahaula la kwata la kuchumpa la kumparamia. Imeisha hio. Huyu dada alistukq mwenyewe akamtimua baada ya kuvumilia sana sana.

2. Huyu yeye ni hatari alikuwa anawaalika na kuwaita wazazi wake kichawi kila siku muda wa chakula jioni wazazi wanafika kwa Dada wanakula msosi na wanafungashiwa unga mchele, mayai nq kuku wqnaondoka kichawi wanasepa bila dada kujua. Shangazi alikuja kwa Dada akihisi jambo pastor akaletwa housegirl akalipuka akasema yote wakamtimua.

3. Huyu yeye alikuwa anamfundisha uchawi mtoto wa Dada anamchukua hadi kwa wazazi wake na mabaharia wengine wa kichawi, shida ikaja mtoto akawa anashindwa hayo mafunzo yao, baadae toto akaanza kuumwa, sisteri akaleta mchungaji katika maombi housegirl akalipuka akasema yote na akasema huku kuumwa ni maandalizi ya kumla baada ya kuona anashindwa kufuzu tuisheni ya uchawi. Dada akamtimua.

Karibuni leteni visa vyenu tushee Mandingo ya kichawi ya housegirls.

Kwa hayo machache mimi ni.

Baharia wenu ndugu. Wadiz
Dunia ina mambo mengi ya ajabu!
 
Huyo dada yako inaonekana ana nyota ya kichawi. Kila mara yeye anapata wadada wachawi tu?
 
Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute.

Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3).
1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua ya kustawi majani yakiota alitumia fursa ya kupqlilia mboga kuharibu kila mmea dawa, iwe alovera, iwe mlonge, iwe dawa za tumbo, kikohozi, za watoto wachanga, za macho. Dada siku akienda anakuta lahaula la kwata la kuchumpa la kumparamia. Imeisha hio. Huyu dada alistukq mwenyewe akamtimua baada ya kuvumilia sana sana.

2. Huyu yeye ni hatari alikuwa anawaalika na kuwaita wazazi wake kichawi kila siku muda wa chakula jioni wazazi wanafika kwa Dada wanakula msosi na wanafungashiwa unga mchele, mayai nq kuku wqnaondoka kichawi wanasepa bila dada kujua. Shangazi alikuja kwa Dada akihisi jambo pastor akaletwa housegirl akalipuka akasema yote wakamtimua.

3. Huyu yeye alikuwa anamfundisha uchawi mtoto wa Dada anamchukua hadi kwa wazazi wake na mabaharia wengine wa kichawi, shida ikaja mtoto akawa anashindwa hayo mafunzo yao, baadae toto akaanza kuumwa, sisteri akaleta mchungaji katika maombi housegirl akalipuka akasema yote na akasema huku kuumwa ni maandalizi ya kumla baada ya kuona anashindwa kufuzu tuisheni ya uchawi. Dada akamtimua.

Karibuni leteni visa vyenu tushee Mandingo ya kichawi ya housegirls.

Kwa hayo machache mimi ni.

Baharia wenu ndugu. Wadiz
Hakuna lolote!! Upuuzi tu huu. Ndio nyie mnadanganywa kama walivyodanganywa na walokole feki wa Shakahola kule Kenya au wale wafuasi wa Kibwetere.

Acheni imani za kishirikina. Mwambie dada yako pia aache ushirikina
 
Hii Dunia isikie vituko na majanga yake kwa wengine yasikukute.

Dada Jenifa amepitia visa na mikasa vya housegirls wachawi kwa uchache ntaweka visa vitatu (3).
1. Huyu alimtoa kijijini kwao kwa ant yetu alikuwa na kawaida yq kuharibu kila aina ya mmea dawa uliopo bustanini hasa ukifikia hatua ya kustawi majani yakiota alitumia fursa ya kupqlilia mboga kuharibu kila mmea dawa, iwe alovera, iwe mlonge, iwe dawa za tumbo, kikohozi, za watoto wachanga, za macho. Dada siku akienda anakuta lahaula la kwata la kuchumpa la kumparamia. Imeisha hio. Huyu dada alistukq mwenyewe akamtimua baada ya kuvumilia sana sana.

2. Huyu yeye ni hatari alikuwa anawaalika na kuwaita wazazi wake kichawi kila siku muda wa chakula jioni wazazi wanafika kwa Dada wanakula msosi na wanafungashiwa unga mchele, mayai nq kuku wqnaondoka kichawi wanasepa bila dada kujua. Shangazi alikuja kwa Dada akihisi jambo pastor akaletwa housegirl akalipuka akasema yote wakamtimua.

3. Huyu yeye alikuwa anamfundisha uchawi mtoto wa Dada anamchukua hadi kwa wazazi wake na mabaharia wengine wa kichawi, shida ikaja mtoto akawa anashindwa hayo mafunzo yao, baadae toto akaanza kuumwa, sisteri akaleta mchungaji katika maombi housegirl akalipuka akasema yote na akasema huku kuumwa ni maandalizi ya kumla baada ya kuona anashindwa kufuzu tuisheni ya uchawi. Dada akamtimua.

Karibuni leteni visa vyenu tushee Mandingo ya kichawi ya housegirls.

Kwa hayo machache mimi ni.

Baharia wenu ndugu. Wadiz
Hizo imani zenu za kibwege ndio mnashindishwaga njaa mpaka mnakufa... huyo mchungaji atakuja kuwapiga tukio tu ni suala la muda tu... maana inaonekana keshawaroga tayari na hamjijui! .. yaani kila dada wa kazi wenu mchawi? Nonsense!
 
wadiz hapana acha kutudanganya usiku huu bado hakujakucha

siamini story zako zote yani zimtukie dada yako tu😀 aah wap
_methode_times_prod_web_bin_6ea4f91e-5cd5-11e7-ad31-8e588690cd15.jpg
 
Dada alipata msichana anasafiri huyo kwenye ajali anakula nyama na damu ya watu, akaanza kumchukua na mtoto wanaenda naye na mtoto naye analishwa kila kitu, mtoto akaanza kusumbua kula muda wote ameshiba, hospital wanapima hana ugonjwa, kanisani alivofika tu mchungaji akamwambia kuna binti umeachq nyumbani nenda kamlete, dada akamfuata binti, piga maombi ya maana binti anaruka soti adi kwenye kenchi hahaha akaanza kusimlia jinsi mama ake alivokuwa akikuja wanamchukua mtoto anasema wanatafuta ajali wanakula nyama, damu, ajali zingine anasema wanasababisha wao wanapata chakula wanakula (nyama na damu) ndo maana mtoto alikuwa akishiba muda wote. Dada akamtimua lakini aliondoka akasema ila dada nitakuwa nakuja. dada alipata tabu sana maana mtoto alisumbuliwa alihangaika naye kwenye maombi Mungu ni mwema akapona
 
Back
Top Bottom