Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi,una uhakika hauumwi?hatupigi picha hizo, ni mwiko kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi,una uhakika hauumwi?hatupigi picha hizo, ni mwiko kabisa.
Kaskazini hii michezo ipo sana. Ni vile watu hawajui.Dah ndo umeoa kwenye koo za hivo,,,,anakuja ndugu wa kiume wa mkeo anamtambulisha mtoto wa bamkubwa unaenda job unawaacha home, ghafla wanaanza kubanduana............na nyie mlio oa kaskazini kuweni macho
Anarudia rudia maneno, hanyooki na hayupo straight kwenye point.Simulizi yako ni fupi sana ila umeirefusha utadhani unatufundisha kusoma.Wewe andika umejamiiana na wangapi/weka orodha hapa basi.
Kuumwa kwetu ni kitu ambacho kinatokea mara moja moja kwa miaka mingi sana.. Tunatumia sana vyakula maalum na dawa za mitishamba, zinakinga maradhi mengi. Tunaamini katika tahadhari kabla ya ajali.Hivi,una uhakika hauumwi?
Elasticity of no demands.Anarudia rudia maneno, hanyooki na hayupo straight kwenye point.
Nimeelewa shida iko wapi.Kuumwa kwetu ni kitu ambacho kinatokea mara moja moja kwa maiaka mingi sana.. Tunatumia sana vyakula maalum na dawa za mitishamba, zinakinga maradhi mengi. Tunaamini katika tahadhari kabla ya ajali.
Mfano, kwetu kitu cha kwanza kukila ukiamka ni juisi ya machungwa na asali, haijalishi unaanza kipi.
Yote hayo utayapata kwenye koo za simba, kuanzia kushirikiana kimaendeleo, kikazi, kijamii na kulana.Kujamiiana ni kushirikiana na mtu wako wa karibu katika jambo lolote either ktk kutatuliana matatizo. Sasa kwa akili kama hizi za watanzania sidhani kama ccm mtakuja muing,oe maana akili zenu zimelalia chini mnawaza ngono tu
Tunaishi na wachawi humu JF.Hizi story zimeanza kuwa nyingi sana humu ndani.
Kala mpaka watoto wake wa kike maana kasema kala kila mwanamke wa ukoo wake maadam yuko haiUmekula dada na mdogo wako WA tumbo moja au sijalewa vizuri apo kwenye koo
Shida ipi?Nimeelewa shida iko wapi.
Kwa hii hali unadhani mifugo wamebaki salama?Acha kula supu ya utumbo.Kala mpaka watoto wake wa kike maana kasema kala kila mwanamke wa ukoo wake maadam yuko hai
Hio "haya" ni mhaya wewe? Mbnao huko kwenu zipo koo za simba, tena kwa vitendo kabisa.Hayo mambo hayafai.
Kweli hizi ni tabia za kichawi kabisaa.Tunaishi na wachawi humu JF.
Hio "haya" ni mhaya wewe? Mbo huko kwenu zipo koo za simba, tena kwa vitendo kabisa.