Visa vya kweli: Siri za kujamiiana katika koo

Sio simba hao, ni matatizo matupu.
 
Koo ya simba 🦁🦁🦁 weeeeeeee!!!! Sasa mkuu naomba kuuliza kuna koo ya nyumbu kweli?
Sina uhakika. Lakini zipo koo za nyoka, Mbwa, Fisi, na wengine wengi tu ambao koo zao si za wanyama.

Ni mambo ya ki roho (spirits) zaidi, wengine wanaita mizimu.

Viongozi wengi sana wa Tanzania ni koo za simba au marafiki wa koo za simba.
 
Huu ni ujinga tu hakuna desturi wala mira ni upumbavu + ushetwani
 
Kujamiiana ni kushirikiana na mtu wako wa karibu katika jambo lolote either ktk kutatuliana matatizo. Sasa kwa akili kama hizi za watanzania sidhani kama ccm mtakuja muing,oe maana akili zenu zimelalia chini mnawaza ngono tu
Hakika umenena vema
 
Kujamiiana ni kushirikiana na mtu wako wa karibu katika jambo lolote either ktk kutatuliana matatizo. Sasa kwa akili kama hizi za watanzania sidhani kama ccm mtakuja muing,oe maana akili zenu zimelalia chini mnawaza ngono tu
😃
 
😹😹😹 wachawi waliniroga na mwingine nimeshuhudia akitembea na mtoto wake wa kumzaa.!!
Maka emu niache nimecheka balaa.!!
Pole sana mrembo, hilo kabila linapenda sana mambo meusi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…