Visa vya wake wenza

Visa vya wake wenza

Ambassador

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2008
Posts
933
Reaction score
75
Mzee mmoja alioa wake wawili na alikuwa anaishi nao nyumba moja.

Siku moja usiku alipokuwa kwa mke mdogo na kupeana HAKI YA NDOA, bi mdogo UTAMU ukamkolea na akaanza kulalama kwa sauti kubwa
" TAAMU MUME WANGU, TAAMU MUME WANGU, NAKOJOA, NAKOKJOA, NAKOJOA.............."

Mke mkubwa chumba cha pili alipo sikia kelele zile alihamaki na kusema kwa sauti kubwa
"HATA UKIWEZA KUNYA KU**MAKO"
 
kaaaaaaaaaaaaaazi kwelikweli ? so mwanamama ajisikia wivu mno ?
 
Ndio muone mitala inavyodhalilisha!
Mkaka pata picha mkeo yuko na mwanaume mwingine na kisha mwanaume anatamka maneno kama hayo huku wewe ukisikia!
 
Nafikiri hao ni watu wa Dodoma ,kwe kwe kwee !!!
 
Ndio muone mitala inavyodhalilisha!
Mkaka pata picha mkeo yuko na mwanaume mwingine na kisha mwanaume anatamka maneno kama hayo huku wewe ukisikia!
thanks WOS... ujumbe wako hauna mjadala, inauma sana mazee

mimi huwa siuelewi uwezo wenu wa kuvumilia, its incredible
 
Back
Top Bottom