Visa ya Dubai kwa wa dada wa Uganda

Visa ya Dubai kwa wa dada wa Uganda

Mkuu rudia urekebishe makosa ya maneno katika habari yako. Ia ielezee zaidi.
 
Majirani zetu nimesikia wanapata shida sana kupata visa ya Dubai kumbe visa kwao ni mtaji duka wana tembea nalo
umeanza na fasihi zako shida yko nini haswa ..ubongo wetu u stuck au ??
 
Majirani zetu nimesikia wanapata shida sana kupata visa ya Dubai kumbe visa kwao ni mtaji duka wana tembea nalo
Hawa jirani zetu Dubai iliwafanya wengi maisha yalibadilika kipindi cha nyuma huko walinunua sana vito vya thamani gold silver etc walikuwa wanatembeza biashara hiyo kama muuza mitumba au vyombo vya ndani au mchicha. Any who..... wengine walikuja kubadilisha biashara na kuwa biashara ya kujiuza.. Wengi iliwalipa lakini baadhi waliobeba mdudu yule wameifanya visa iwe shida kwao sababu ya mdudu yule..
 
Yaan dae eclat vinyuzi zake vifupi sana mi hapo sijaelewa jumla nimeelewa reja reja
Na yeye Anataka umuelewe hivyo hivyo ...naona mamlaka ya usafiri ya Dubai imeshituka "" wanapelekewa mnoo maambukizi na wa Dada wa kiganda
 
Hawa jirani zetu Dubai iliwafanya wengi maisha yalibadilika kipindi cha nyuma huko walinunua sana vito vya thamani gold silver etc walikuwa wanatembeza biashara hiyo kama muuza mitumba au vyombo vya ndani au mchicha. Any who..... wengine walikuja kubadilisha biashara na kuwa biashara ya kujiuza.. Wengi iliwalipa lakini baadhi waliobeba mdudu yule wameifanya visa iwe shida kwao sababu ya mdudu yule..
Asante sana mate
 
Back
Top Bottom