Visasiri, Upande wa tatu wa noti(banknote).

Visasiri, Upande wa tatu wa noti(banknote).

POWER AU NGUVU YA USHAWISHI KATIKA DIPLOMASIA.

Usupa pawa ni uwezo wa ku-manipulate geopolitics za nchi in a wide & deferent demographic location.

Naona sasa na sisi huku kwetu tumefikiwa kisawasawa.

Katika huu ulimwenguni ambako kuna mafahali wawili wasioweza kukaa pamoja, inawezekana utafauti huu (duality) si bahati mbaya bali wanacheza tune za wenye ulimwenguni huko rohoni.

Nyasi ndio huumia wapiganapo hao fahali, na sababu ya kupiga a ni kuwania|kugombea utawala/kupata nguvu ya kutawala kundi nzima la ng'ombe... Naam na ili mmoja wapo afanikiwe ni lazima aonyehe uwezo wake ili kuwashawishi ng'ombe wengine. Ukitekenya ubongo utangundua hii Habari haihusu ng'ombe.

Hao mafahali si wengine bali ni hawa pamoja na washilika wao.
_20250217_151154.JPG


_20250217_150927.JPG

(a)

_20250217_150957.JPG

(b)

In general mataifa mengi ya Africa mostly sub saharan specifically E. Africa hayana au hayajui hatima yao, They still exist in potential form. Na kwakua kiasili yamebalikiwa hivyo yana-potential hiyo ya kupiganiwa na mafahali na tangu mwanzo mnyukano unaendelea in background wakati huku foreground ng'ombe wanaona life is good, wanaoa na kuolewa zizi linaongezeka.

Majira nyakati na dalili zinaonesha mnyukano umekwisha kamaa sasa nani atavuna na kufaidi mazao.

Je nini hatma ya haya mataifa yasiyokua na hatma,

Je itatokea devide and rule kwamba kila fahali ataondoka na pande lake na kuishi kwa kanuni na taratibu zake.

Je itakua bora kama tukibakia na fahali huyu huyu tulienae tangu mwanzo. Na

Vipi kama fahali wetu mkombozi mlezi akinyukwa, utawala wa fahali mpya utakuwaje. CV inaonesha fahali mpya akitawala huwa anaacha neema kubwa.

Pia huyu fahali mpya ni mjanja mwenye mbinu, wapambe wenye upambe mwingi wa kumshinda mpinzani... Ubaya wake ni kwamba akizidiwa mbinu huwa anavuruga kila kitu na kumfanya mpinzani wake aanze na moja kujenga himaya.

Histolia ya hawa mafahali inatuonesha kuwa hawa mafahali ni wanatoshana nguvu, na kote wanakopigana kugombea himaya ya wanang'gombe huwa hapatikani mshindi hivyo mwisho wa siku wanaishia kugawana himaya.

Na kwa kua huyu fahali mpya anambinu nyingi, wapambe wenye upambe na ni mjanja huwa anahakikisha himaya ya mpinzani wake haistawi bali yake tu ndio inanawili.

Tazama historia ya kule Asia ya mbali kuna S. Korea, N. Korea na mataifa mengine na namna mtifuano wa mafahali ulivyoleta hatma ya mataifa hayo.

Pia mashariki ya kati kuna Israel tazama hatma ya mataifa iliyozungukwa nayo Kutokana na itikadi waliochagua.

Kuna Ukraine pale Ulaya

Nasasa kuna mmoja wetu hapa Afrika mashariki anazidi kuimalishwa mdogo mdogo mpaka atakapo kuja kua hashikiki, kama alivyo Israel.

Unaambiwa "ukimuona kuku kwa mganga, jua rangi yake imemponza”.

Na mti wenye matunda ndio kupigwa mawe ila kwakua waanguaji wa matunda ni ma-ultra legends wanadeal na Shina kwanza.

Sasa basi kwakua E. Africa himaya zake zinamalisho ya kutosha hivyo mafahali wanakiwasha kila muda kila mmoja akijitahidi ku-secure himaya.

Kuna himaya moja kutokana na sifa zake Imekua kama kuku aliejikuta katika 18 za mganga kwani ina rangi na vigezo vyote ambavyo mganga anataka ili kumaliza kazi.

Kwakua himaya yenyewe inang'ombe wenye uzoefu kiasi chake na mapambano ya kifahali hivyo mafahali wana shughulika naye kifahali zaidi, na aliunganishwa na wengine kwenye ile multipurpose operation.

Wakati huo himaya nyingine zinashughulikiwa ki-ndamandama.

Je huyu kuku aliejikuta kwenye 18 za Mgaga ni nani...?!?
_20250217_153132.JPG
56c2c9792f083d27b213212b802515df.jpg
 
Operation multipurpose

Kuku wa kafara kilingeni alieponzwa na rangi yake.

Ilikua ni majila ya kupanda kusimika katika wakati wa kupalilia ilikua hivyo ni kwasababu ya kutimiza sheria tu ila kilichosimikwa kilishapandwa tayari.

Katika harakati za kupalilia ndipo wakaihuka simba wakali na kuwawamia shambani wakiwa wanapalilia wale watunzaji wa shamba.

Simba waliwajeruhi baadhi nao wakakimbia kujificha kwenye jumba bovu. Wale simba nikama walikua na lengo la kuwatisha (wawe na hofu) tu na sio kuletea maafa.

Baadae wakaja chui kuvamia nao walijeruhi wale wakulima na hapo ndipo operation multipurpose ikaanza safari hii hawakujeruhiwa badala yake wale wakulima makini na dhabiti walifikiwa na mauti na kuacha shamba likiwa katika hali nzuri lakini chini ya usimamizi hafifu.

Wale predator (canivorous) walianza kum-prey na ;

Mshauri muandamizi(consultant) kwa masuala ya kilimo wa lile shamba.
Wakafuatia na Agricultural engineer wa shamba.

Wakamuwinda general manager.

Wakafuatia na agrometeorologist aliyekua anashilikiana na washauri wa mradi wa shamba hususani katika masuala ya hali ya hewa..

Wakaendelea kuwawinda washauri wawili wa mradi waliobakia wakamkamata mmoja kwa mbinde sana kabakia mmoja.


Kati ya mashamba ya eneo lile Shamba hilo ndio lilikua linaongoza kwa mavuno ya tija hivyo lilikua ni shamba la mfano(darasa) Kwa majirani.

Kunawasiwasi kua linaweza kupoteza nafasi hiyo ya kua shamba dalasa... Kutokana na kwamba wale wasimamizi nguli na wenye uzoefu hawapo tena... Je nini hatma ya shamba hilo?

Inatabilika ya kwamba Kutokana na incompetence ya wasimamizi na kuogopa kupoteza status ya shamba hilo wataamua kutafuta mkataba na wakulima nguli kutoka estate farms za mbali ili kushirikiana kuendesha shamba hilo na hatimaye kudumisha sifa ya shamba hilo na pengine kukuza tija zaidi ya kawaida.

Ingawa wale wakulima walifikiwa na mauti walifikisha shamba katika status ile kwa misingi ya Uhuru umoja na kujitegemea waliamini katika falsafa hiyo... Sasa je kwanini kunamabadiliko ya gafra huku yakivunja misingi mama ya usimamizi wa shamba.,?

Inaonekana mabadiliko haya ya gafra sio ya wakulima walioachiwa shamba bali ni sehemu ya mpango wa operation multipurpose... Na wakulima waliobakia wako katika traps zinazoplay with life kama zilivyocheza na wale wakulima wa mwazo, hivyo hawana hudi kutekeleza otherwise wataliwa na canivorous(simba na chuki).

Je nini madhumuni ya operation multipurpose!? Mbona wanatumia nguvu kubwa ku push wasimamizi wa shamba hilo kufuata muongozo wao kuendesha shamba.

BANKNOTE 01 || VISAIRIS(II)
 
Ukiachana na wale wakulima nguli waliogeuka kitoweo cha Canivore, na kufanya shamba kutokua na tija ya kutosha jambo ambalo limepelekea food insecurity, na kuzaa tantion iliopelekea shamba kupokea ruzuku kwa wadau mbalimbali kulingana na pembe jeo walizonazo.

Pia operation multipurpose ilikua na syndi🙀 maalumu operating in dark ways kuhakikisha wakulima wa shamba lile wanasaini mikataba ya kibiashara kuanzia huduma za pembejeo, huduma kiugani hadi soko la mazao wawategemea kwao.

Hiyo syndidog ilihakikisha hilo linatimia, na niliwaonea huruma wale wakulima waliorithi lile shamba kwani njia zilizotumika ni ngumu na ziligharimu mali ya wakulima ili kutekeleza matakwa mafahali.

In a suplaizing'i way wamefanya sana mazoezi ya utayari kuhusu uokozi wa majanga ya milipoko ya moto na plane crashes...

Je ni kwanini sio kabla na baada ya kipindi kile, yaani kwanini kipindi kile je wakulima vita waliimaliza!? Au walitema bungo? Na circus zote zile ni kwamaslahi ya nani!?

Wapi unaliona lile shamba this time tomorrow!?.

BANKNOTE 01||VISAIRIS(III)
 
Back
Top Bottom