Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu,
Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.
Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.
Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.
Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.
Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...
Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.
Husika na kichwa hapo juu,
Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.
Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.
Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.
Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.
Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...
Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.