Visenti kidogo nimebadilisha mafuta

Visenti kidogo nimebadilisha mafuta

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.
Picha ya huo ulaini tuuone bila hivyo ni chai tu
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.
Sasa mtoto mlaini na wenye ngozi nyororo nitakupa wapi nikupongeze kwa kutoka uzeeni na kuurudia ujana?
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa hapo juu,

Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka.

Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa kama mtoto.

Nikamuuliza unapaka nini akasema OLAY CREAM toka UK inauzwa Lavish Glow wapo Mbezi Salasala akanipa namba, ndio mafuta mazuri, yapo ya mchana na usiku bei akanitonya, basi mtoto mkali mimi nikaona nijilipue.

Akaniambia ni mafuta ya ngozi za kawaida yani normal skin, bei elfu 50.

Nikaanza kupaka mtoto mie, jamani nimekuwa mlaini hatareeee...

Nikaona nisiwe mchoyo niwaambie na nyie.

Hiyo ela umepata wapi
 
Back
Top Bottom