Visima, visima,visima

Visima, visima,visima

Joined
Jul 27, 2012
Posts
54
Reaction score
8
-tunachimba visima virefu kwa kutumia machine maalum ya kisasa kwa uhakika na kwa bei nafuu.

-tunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja. tutakufuata popote ulipo [dar]
.

mobile no: 0712 452319 or 0767452319
 
-tunachimba visima virefu kwa kutumia machine maalum ya kisasa kwa uhakika na kwa bei nafuu.

-tunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja. tutakufuata popote ulipo [dar]
.

mobile no: 0712 452319 or 0767452319

Nje ya Dar mnachimba sh ngapi?
 
Bei zako zipo juu sana!! Kisima hakizidi mil3 kwenye ardhi ya kawaida tu!!! Wengi wanachimba mita kwa elfu 20.
 
Nje ya Dar mnachimba sh ngapi?

Inategemeana na umbali wa sehemu yenyewe kwa maana ya kwamba ni nje ya Dar sehemu gani, na bila kusahau kiasi cha mita za kisima chako unavyotaka kichimbwe. Hivyo vyote kwa pamoja vinaweza kusaidia kutathmini bei ya gharama zote za uchimbaji kisima kwa ujumla.
 
Bei zako zipo juu sana!! Kisima hakizidi mil3 kwenye ardhi ya kawaida tu!!! Wengi wanachimba mita kwa elfu 20.[/QUOTE

Huenda kweli wapo wanaochimba kisima kwa bei hiyo lakini jambo la msingi unalopaswa kufahamu ni kwamba sisi tunavyofanya bei hiyo ni kwamba tumejumuisha mambo mengi katika hiyo bei ikiwemo; gharama za usafiri kutoka ofisini hadi nyumbani kwa muhusika, pump, n.k ambavyo hivyo vyote ni juu yetu kwa maana ya kwamba vyote vinajumuishwa katika bei ya uchimbaji wa kisima kwa kuzigatia mita za urefu wake, tofauti na wengine ambapo kuna baadhi ya vitu unatakiwa uvigharamie wewe mwenyewe mbali na bei ya uchimbaji kisima. Pia unatakiwa uzingatie suala zima la uhakika wa uchimbaji[yaani kiwango cha utaalamu katika uchimbaji pamoja na muda unaotumika kuchimba kisima ambapo sisi htunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja tu. Kwa hiyo bwana King Kong kuna mambo mengi unatakiwa kuyazingatia bila kujali urahisi wa bei tu.
 
Ni kweli ninyi mko ghali sana! Kuna vijana wapo hapo idara ya maji ya Manispaa ya Ilala wanachimba kwa kama Mil.4.3 hivi, baada ya kuwa wameshayapata maji kwa kuyatafuta na Terrameter kwa kama Sh.200,000/=; ninyi ni very expensive bana. Vifaa wanavyotumia aidha wana kodisha toka Chuo cha Maji pale Mlimani au Wizara ya Maji. No review your prices, hii ni dunia ya ushindani bana.
 
Oooh tena nimesahau another fact! Hao vijana wanakuchimbia hadi mita 75! Haijarishi wanayakuta maji mita 50 au 60; lazima wafike mita 75 na of course wanakuwekea na bomba hadi juu na kutoka hapo unaendelea mwenyewe!
 
Hata mimi naona Mwakatumbula ameleta bei anazoiuziaga serikali au balozi fulanifulani. Ukweli ni kuwa wapo watu wenye kumudu bei zenu na hao mtawapata. Sisi wengine tunaona kama mko juu sana hasa ukizingatia kuwa kazi mnaifanya kwa siku moja, operational costs zinakuwa chini sana kwani ni siku moja tu. Lakini pia kuchimba kisima, kuflash, kupanga mabomba, kufunga pump, na logistics zingine siku moja? Hiyo itakuwa super work na hongereni kwa efficiency ya namna hiyo. Ila ushauri wangu kwenu tazameni tena hizo bei na mrudi kwenye uhalisia
 
Ni kweli ninyi mko ghali sana! Kuna vijana wapo hapo idara ya maji ya Manispaa ya Ilala wanachimba kwa kama Mil.4.3 hivi, baada ya kuwa wameshayapata maji kwa kuyatafuta na Terrameter kwa kama Sh.200,000/=; ninyi ni very expensive bana. Vifaa wanavyotumia aidha wana kodisha toka Chuo cha Maji pale Mlimani au Wizara ya Maji. No review your prices, hii ni dunia ya ushindani bana.

Hi waweza nirushia namba zao hao wakuu ili nami niweze kuongea nao maana hiyo ya mkuu hapo juu nimechemsha lkn bei hizo ulizotaja zinaongeleka.
 
Ni kweli ninyi mko ghali sana! Kuna vijana wapo hapo idara ya maji ya Manispaa ya Ilala wanachimba kwa kama Mil.4.3 hivi, baada ya kuwa wameshayapata maji kwa kuyatafuta na Terrameter kwa kama Sh.200,000/=; ninyi ni very expensive bana. Vifaa wanavyotumia aidha wana kodisha toka Chuo cha Maji pale Mlimani au Wizara ya Maji. No review your prices, hii ni dunia ya ushindani bana.

Ni Pm no zao please
 
Back
Top Bottom