"Vision X Tint Studio" walikua ndio Authorized Dealer wa 3M Tint kwa Tanzania. Jamaa walikua wanaweka tint kali na quality sana.

"Vision X Tint Studio" walikua ndio Authorized Dealer wa 3M Tint kwa Tanzania. Jamaa walikua wanaweka tint kali na quality sana.

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Gari kua na tinted ni jambo la msingi sana. Inaongeza privacy na usalama, inapunguza joto (heat na UV rays) na kuongeza "muonekano" mzuri.
images (12).jpeg

Sasa hawa wawekaji wa Instagram wanatuwekea sawa tint ila quality mbovu sana na ndio maana nyingi baada ya miaka 2 zinabadirika rangi kama sio kubanduka kabisa.
images (13).jpeg
images (14).jpeg

Kulikua na hawa jamaa wanajiota Vision X Tint Studio kule Mikocheni B, aisee walikua kazi wanaiweza.
screenshot_20250119-140848-png.3206261

Kwanza kwa Tanzania ndio walikua Authorized Dealer wa 3M Tint, sijui kama kuna mwingine ila nilikua nawajua wao. Kazi yao ilikua high quality, na una options nyingi za kuchagua aina kuanzia ceramic, carbon, crystalline, metalic nk.
Screenshot_20250119-142623.png

Ulikua ukifika kuna gari tatu wamezipack moja ina tint yao, moja haina na nyingine ina tint za bei ndogo zote zipo kwenye jua. Unaingia moja moja uone tofauti ya cabin temp aisee tofauti ilikua kubwa sana.
Screenshot_20250119-140808.png

Sema naona wamefunga business maybe ushindani maana kuweka mbele tu kioo ilikua kuanzia 450k hadi 900k kutegemea na aina ya tint. Sasa gari zima iyo story nyingine.
Screenshot_20250119-142559.png

Sijui kwa sasa nani anaweka tint ambayo itasaidia kupunguza joto.

All in all tint unyama sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20250119-140848.png
    Screenshot_20250119-140848.png
    678.4 KB · Views: 11
Mara ya mwisho nilibadili wind screen kwa 150k-200k, hivyo naelewa kipengele cha hiyo bei yao.
 
Hadi Leo sijaweka tinted naendesha gari ikiwa na tinted yake yakujia Toka Japan...hizo tinted za bei rahisi tunapata nazo Sana shida usiku hasa kama unataka kuangalia side mirror,
JP wanaweka tint OG seat za nyuma yaan unyama sana. Ila mbele hawaweki na windscreen hawaweki.

Hawa wanaoweka kwa 100-150 hapana aisee
 
JP wanaweka tint OG seat za nyuma yaan unyama sana. Ila mbele hawaweki na windscreen hawaweki.

Hawa wanaoweka kwa 100-150 hapana aisee
Tint za kariakoo ukiweka wanaikata Ile tint kwenye kioo Kwa mchoro wa apple ili uweze kuona vizuri kwenye side mirror, ukifunga vioo utakutana na nembo ya apple usawa wa side mirror
 
Tint za kariakoo ukiweka wanaikata Ile tint kwenye kioo Kwa mchoro wa apple ili uweze kuona vizuri kwenye side mirror, ukifunga vioo utakutana na nembo ya apple usawa wa side mirror
Yaani gari linakuwa la kishamba sana...ni kama wanaoweka miurembo fulani hivi unajua tu huyu katokea kazuramimba huko
 
Yaani gari linakuwa la kishamba sana...ni kama wanaoweka miurembo fulani hivi unajua tu huyu katokea kazuramimba huko
yaani unajua tu huyu sio mtu wa magari
Sasa wakuu tutafanyaje maana bila ya kukata kasehemu karibu na side mirror usiku hatuoni. Mimi usiku kwenye junction inabidi nishushe kioo ndio nione kabla ya kukata kona. Au kurudi nyuma inabidi vioo vyote vishushwe kwanza.
 
Sasa wakuu tutafanyaje maana bila ya kukata kasehemu karibu na side mirror usiku hatuoni. Mimi usiku kwenye junction inabidi nishushe kioo ndio nione kabla ya kukata kona. Au kurudi nyuma inabidi vioo vyote vishushwe kwanza.
Hii ni sarcasm sio kwa wewe Prondo team magari labda akina atupele ambao ndo anaanza kumiliki IST old model hafu kaenda Ilala kawaambia niwekee ile melikani tintedi 😀
 
Back
Top Bottom