Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi
Hili ni bandiko la Visions na Trends Readings, Visions za Trends Reading sio utabiri, ni maono ya mielekeo. Ni tofauti na maono ya utabiri.
Kwenye visions za trends readings zangu, zinanionyesha "Mbunge Wangu wa Kawe, Baba Askofu, Mheshimiwa sana, Dr. Josephat Gwajima" akichanjwa chanjo ya Corona!.
Baba Askofu Gwajima, licha ya kupinga chanjo ya Corona kwa mahubiri ya zaidi saa nzima., Trends Readings zangu, zinanionyesha, Baba Askofu Dr. Josephat Gwajima akichanjwa chanjo ya Corona!, na siku hiyo, atakapo chanjwa, atazungumza na ukimsikiliza atakakacho sema, unaweza usiamini kama mtu huyo anayezungumza siku hiyo, na aliyechanjwa, ndio, mtu yule yule aliyeongea maneno haya mimbarini kwake siku za nyuma!.
Trends na Visions ni Nini?
Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa trends na visions. Trends ni kusoma mielekeo, na visions ni kuona mambo yajayo ya mbali, yatakayo tokeo kutokana na trends unanaziona sasa. Hivyo trends za Baba Akofu Gwajima anazokwenda nazo sasa za kupinga chanjo ya Corona, sii lolote, sii chochote, kwa sisi waona mbali, tuliojaaliwa kupata visions za yajayo, tunaona kabisa mambo mazuri huko tuendako, ikiwemo, licha ya Baba Askofu kupinga sana chanjo, trends na visions zinanionyesha Baba Askofu akipokea Chanjo ya Corona kwa kuchanjwa!.
Kutafsiri Trends & Visions, ni Psychoanalysis. Jee Hii Psychoanalysis ni Nini, na ya Kazi Gani?
Kuna msemo usemao, information is power, yaani ukiwa na taarifa sahihi, unakuwa na nguvu, hivyo hii psychoanalysis ni somo la kujifunza kwa nini watu wana behave kwa namna fulani kwenye situations fulani. Hivyo ukijua tabia za watu, kwa nini they behave the way they behave, wewe unakuwa na power ya kuwafahamu na sometimes bila wenyewe kujifahamu, hivyo kwa kuandika humu kuhusu their human behaviors, hii inaweza kuwasaidia watu hawa kujielewa na kubadilika, and changing for the better kwa kupunguza maneno na kuongeza vitendo. Waalimu wakuu wa hili somo la psychoanalysis, ni wawili, Carl Jung na Sigmund Freud.
Nimeifundisha sana Psychoanalysis, humu
Pascal Mayalla said:
www.jamiiforums.com
Baadaye aligeuka.
Hata siku alipozungumza haya kumhusu Muadhama Polycarp, Carninali Pengo, , baadaye alifuta kauli na alimtembelea na kuomba msamaha.
Alipomzungumzia Bashite, , pia baadaye alifuta kauli na wakapatana.
Hivyo hata kauli yake hii ya sasa ya kupinga chanjo ya Corona, ni kauli tuu, isiwatatize, Baba Askofu, atafuta kauli na atachanjwa Corona.
Kwa wale wageni na mabandiko ya Trends zangu, mnaweza kusisoma baadhi ya trends na zilikuja kutokea hivyo hivyo...
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Trends na Visions, Zina Uzuri na Ubaya, Uzuri wa Trends ni zinapotokea kweli kama ulivyosema, ubaya wa trends, ni zisipotokea, utaonekana muongo, hivyo hata mimi, sio trends zangu zote hutokea, kuna nyingine hazitokei, hivyo kuonekana muongo,
Hizi ni baadhi ya trends ambazo hazikutokea,
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Paskali
Hili ni bandiko la Visions na Trends Readings, Visions za Trends Reading sio utabiri, ni maono ya mielekeo. Ni tofauti na maono ya utabiri.
Kwenye visions za trends readings zangu, zinanionyesha "Mbunge Wangu wa Kawe, Baba Askofu, Mheshimiwa sana, Dr. Josephat Gwajima" akichanjwa chanjo ya Corona!.
Baba Askofu Gwajima, licha ya kupinga chanjo ya Corona kwa mahubiri ya zaidi saa nzima., Trends Readings zangu, zinanionyesha, Baba Askofu Dr. Josephat Gwajima akichanjwa chanjo ya Corona!, na siku hiyo, atakapo chanjwa, atazungumza na ukimsikiliza atakakacho sema, unaweza usiamini kama mtu huyo anayezungumza siku hiyo, na aliyechanjwa, ndio, mtu yule yule aliyeongea maneno haya mimbarini kwake siku za nyuma!.
Trends na Visions ni Nini?
Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa trends na visions. Trends ni kusoma mielekeo, na visions ni kuona mambo yajayo ya mbali, yatakayo tokeo kutokana na trends unanaziona sasa. Hivyo trends za Baba Akofu Gwajima anazokwenda nazo sasa za kupinga chanjo ya Corona, sii lolote, sii chochote, kwa sisi waona mbali, tuliojaaliwa kupata visions za yajayo, tunaona kabisa mambo mazuri huko tuendako, ikiwemo, licha ya Baba Askofu kupinga sana chanjo, trends na visions zinanionyesha Baba Askofu akipokea Chanjo ya Corona kwa kuchanjwa!.
Kutafsiri Trends & Visions, ni Psychoanalysis. Jee Hii Psychoanalysis ni Nini, na ya Kazi Gani?
Kuna msemo usemao, information is power, yaani ukiwa na taarifa sahihi, unakuwa na nguvu, hivyo hii psychoanalysis ni somo la kujifunza kwa nini watu wana behave kwa namna fulani kwenye situations fulani. Hivyo ukijua tabia za watu, kwa nini they behave the way they behave, wewe unakuwa na power ya kuwafahamu na sometimes bila wenyewe kujifahamu, hivyo kwa kuandika humu kuhusu their human behaviors, hii inaweza kuwasaidia watu hawa kujielewa na kubadilika, and changing for the better kwa kupunguza maneno na kuongeza vitendo. Waalimu wakuu wa hili somo la psychoanalysis, ni wawili, Carl Jung na Sigmund Freud.
Nimeifundisha sana Psychoanalysis, humu
Pascal Mayalla said:
Hivyo ili kuwathibitishia Baba Askofu atapokea Chanjo ya Corona, Tembelea uzi huu, umsikilize kwa makini Baba Askofu, alisema nini hapa,Carl Jung na Sigmund Freud ni Nani na Walifundisha Nini kwenye Psychoanalysis?
Hawa ni mabingwa wa somo la saikojia ya watu na walijikita katika kufanya analysis za kubaini chanzo, the motive behind, tabia, maneno na matendo ya baadhi ya watu, huku Freud akijikita zaidi katika mahusiano ya kifamilia na Jung akijikita katika mahusiano ya kijamii, hivyo Freud kuheshimika kama mwanzilishi wa psychoanalysis na Jung akawa ni muasisi wa analytical psychology au Jung psychology, tena ingekuwa ni amri yangu, ningeamrisha viongozi wetu wote wapatiwe semina ya Jung Pschology inafundishwa katika kituo cha TAGLA pale IFM, kwa njia ya distance learning, kutawasaidia sana, maana kuna wengine wanadhani kuongea sana, kuhutubia sana, au kuongea kwa ukali na vitisho, ndiko kutalisaidia taifa hili kupata maendeleo!. No way, maendeleo ya kweli hayaletwa na maneno, na ukali au vitisho, bali yataletwa na matendo na mipango mkakati!, Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.
Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais
Wanabodi, Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje? Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...
Hata siku alipozungumza haya kumhusu Muadhama Polycarp, Carninali Pengo, , baadaye alifuta kauli na alimtembelea na kuomba msamaha.
Alipomzungumzia Bashite, , pia baadaye alifuta kauli na wakapatana.
Hivyo hata kauli yake hii ya sasa ya kupinga chanjo ya Corona, ni kauli tuu, isiwatatize, Baba Askofu, atafuta kauli na atachanjwa Corona.
Kwa wale wageni na mabandiko ya Trends zangu, mnaweza kusisoma baadhi ya trends na zilikuja kutokea hivyo hivyo...
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!
Wanabodi, Hili ni bandiko kuhusu kitu kinachoitwa trends na visions. Trends ni kusoma mielekeo, na visions ni kuona mambo yajayo ya mbali, hivyo trends za rais Magufuli anazokwenda nazo, kwa sisi waona mbali, tuliojaaliwa kupata visions za yajayo, tunaona kabisa mambo mazuri huko tuendako...
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...
Trends na Visions, Zina Uzuri na Ubaya, Uzuri wa Trends ni zinapotokea kweli kama ulivyosema, ubaya wa trends, ni zisipotokea, utaonekana muongo, hivyo hata mimi, sio trends zangu zote hutokea, kuna nyingine hazitokei, hivyo kuonekana muongo,
Hizi ni baadhi ya trends ambazo hazikutokea,
Voices from Within: JPM ni Rais msikivu na mwenye huruma, aliyekosea kuapa, atasamehewa, ataapishwa upya na kuendelea na Unaibu Waziri wake
Wanabodi, Hili ni bandiko kuhusu kitu kinachoitwa "voices from within" ni kama "trends reading of some sort. 'Voices from Within" ni kuisikia sauti kutoka ndani yako!. Sasa baada ya Naibu Waziri wa Madini kushindwa kuapa, na Rais Magufuli kumtumbua pale pale, au papo kwa papo kwa kudhania...
Voices from Within: JPM ni Rais msikivu na mwenye huruma, aliyekosea kuapa, atasamehewa, ataapishwa upya na kuendelea na Unaibu Waziri wake
Wanabodi, Hili ni bandiko kuhusu kitu kinachoitwa "voices from within" ni kama "trends reading of some sort. 'Voices from Within" ni kuisikia sauti kutoka ndani yako!. Sasa baada ya Naibu Waziri wa Madini kushindwa kuapa, na Rais Magufuli kumtumbua pale pale, au papo kwa papo kwa kudhania...
Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.
Wanabodi, Declaration of Interest Naomba nianze kwanza kwa kudeclare interest, kuwa mimi Pascal Mayalla ni mkaazi wa Wilaya wa Kinondoni, kama mwananchi wa kawaida, ila pia ni mwanachama, wa chama cha siasa, na sio Chadema, mimi ni mfuasi wa falsafa ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage...
Paskali