#COVID19 Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!"

Yale ndio mawazo ya viongozi wetu wa chama chako cha CCM. UWEZO WA KUFIKIRI WA VIONGOZI WA CCM UMESHUKA TU MINUS LEVEL.
 
Mkuu nakubaliana na wewe.
lakini napata shaka kidogo kwa sababu hii ishu watu wengi wanaihusisha na mambo ya imani ambayo huwa ni ngumu kubadirika.
Naamini baba askofu anamsukumo wa kiimani tofauti na matukio mengine ya nyuma ambayo mengi yalikuwa na msukumo wa kisiasa.
 
Wewe kama haujui jielimishe, kama unaamini wazungu nenda kachanje, haujakatazwa...wahi kabla hazijaisha.
 
Unafikiri tu Paschal Mayalla lakini huna uhakika...

Kwa sababu;

1. KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI NA MWADHAMA POLYCAP PENGO;

- Ume - attach video ya nyundo kwa Askofu Polycap Pengo na mahakama ya kadhi tu, lakini huoneshi video ya kugeuka na kuomba msamaha...!!

- Kumbukumbu za hili zinaonesha kuwa, Bishop Rev. Josephat Gwajima alisimama imara na kuongoza harakati za kuipinga na kuikataa mahakama ya Kadhi na IKAWA VILE...

- Kumbukumbu pia zinaonesha kuwa, Bishop Rev. Josepahat Gwajima alimtangazia hukumu ya kumfuta Askofu Pengo na IKAWA VILE maana 2019 Pengo alifariki...

Je, kifo chake ni matokeo ya hukumu hiyo au just a natural death? Hilo unaweza kujibu mwenyewe tu...

2. KUHUSU PAUL MAKONDA

- Ume attach video ambayo Rev. Gwajima akimtangazia hukumu Makonda ya kumfuta ktk siasa za Tanzania (na imekuwa hivyo tayari) lakini hakuna inayoonesha Gwajima akigeuka na kumwomba masamaha Makonda...!!

HATA HIVYO;

Nakuhakikishia jambo moja kuwa, hizo ulizoweka hapa ni "hisia mbahatisho" za mtu asiye na maarifa ya kiroho lakini akijadili mambo ya kiroho...

Andiko lako lote ni assumptions tupu bila "proof" kwa kutumia matukio hayo ya nyuma uliyoaanbatanisha hapa kwa njia ya video huku ukweli ukiwa kinyume chako...

KWA UFUPI NI KUWA;

Mnasafiri ktk masafa ya kiroho (spiritual frequency) tofauti sana na Rev. Gwajima...

Wewe Paschal Mayalla ninayekufahamu kamwe huwezi kuwa hakimu wa Bishop Rev. Josephat Gwajima ktk elimu ya kiroho. Jadili mengine, hilo achana nalo, huliwezi...

Bishop Rev. Josephat Gwajima hawezi kusujudu na kuabudu mashetani kamwe. Huyu mtu ni "JITU LA MBINGUNI" na ni sauti ya mtu aliaye nyikani kusema itengenezeni njia ya Bwana maana ufalme wa Mungu Yehova upo tayari...!!

Sijui kama umenielewa
 
11. Tupate chanjo tufungue uchumi
 

Amekosea huyu na kukubaliana naye ktk mawazo hayo ni kukubaliana na mawazo ya kishirikina...

Paschal Mayalla anamjadili Bishop Rev. Josephat Gwajima huku akiwa hamfahamu vizuri...

Huyu Mchungaji akisimamia kitu anachokiamini, kamwe hawezi ku - back down na kamwe hawezi kurudi nyuma wala kusujudu mashetani na mipango yao...!
 
Mkuu pengo amefariki lini ?
 
Ni suala la muda tu. Waumini wake wa huko Japan, and Korea na USA wanahitaji huduma yake sana tu ya kiroho. Na ili awafikie atapata chanjo.

Chanjo ya mwilini tu, ila kiroho haitaki chanjo na anakataa chanjo.
 
Hivi mbona Gwajima hoja zake ziko wazi kwann mnajitoa ufahamu?
Msikilizeni mjibuni kwa hoja tuache masihara,tumieni akili kufikiri!
 
Mkuu shukrani,nilikuwa nawaza kuandika!
Ila naamini uliyemjibu hajakuelewa na hawezi kukuelewa,sababu mambo ya kiroho ameyatafsiri kisiasa!.

Watakaokuelewa hapa wachche sana.
 
Wewe kama haujui jielimishe, kama unaamini wazungu nenda kachanje, haujakatazwa...wahi kabla hazijaisha.
Mnaweza kupinga chanjo lakini msiongee uongo.... Hivi unaijua Grapehene oxide wewe?? Ni sawa na wanaodai eti chanjo ina chip sijui unakua tracked!! Mnapotosha kwa faida ya nani??

Kama umesomea engineering au accounting baki kwenye profession yako waachine Virologists ama Epidemiologist!! Tupunguze ujuaji.
 
Kumbukumbu pia zinaonesha kuwa, Bishop Rev. Josepahat Gwajima alimtangazia hukumu ya kumfuta Askofu Pengo na IKAWA VILE maana 2019 Pengo alifariki...
Pengo alifariki au alistaafu?? kwahiyo kustaafu naturally ni sababu ya vita na Gwajima??

Mfano Gwajima alisema Lowassa lazima awe Rais na CCM ila baada ya uchaguzi akamkana??

Alisema hana imani na CCM kabisa kipindi JPM amekua Rais. Akasema hana shida na JPM ila ana shida na CCM tena akliita "Hili lidude". But akagombea ubunge kupitia CCM huo msimamo wake ni upi??

Alisema katiba mpya ni muhimu enzi hizo 2014 lakini toka ameingia CCM ameufyata huo ndio msimamo???

Alisema yye ni mkubwa kuliko Rais au mbunge so hawezi gombea but amekua mbunge. Je huo ndio msimamo??

Gwajima ni tapeli kupitia mgongo wa dini, iko siku ataumbuka tu maana huwezi kumfool Mungu miaka yote tu. His time is coming!!
 
Yaezekana maan nyie hamtabiriki, mnaangalia upepo utakavyo vuma tu 🀣🀣🀣
 
...πŸ™„πŸ™„πŸ™„...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…