Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Ni maajabu, ama kweli ni maajabu ya 8 ya Dunia hii, na maajabu hayo si mengine bali ni maajabu yanayofanywa na timu ya wazee na vikongwe ya Simba Sports Club na uongozi wake.
Wameleta ubahili wao na Bodi nzima ya Mpira wa Tanzania wameshindwa kulitangaza taifa kabla ya michuano mpaka hitimisho la hapo kesho, walikuwa kimya! Sasa shujaa Kagame kaingia mzima mzima dadeki, Visit Rwanda kwenye ardhi ya mwenyeji na mwenyeji kabaki kutoa macho!
Simba ni kikundi fulani cha wachawi wachawi kikiundwa na vilaza na bimburukenge vya Magomeni Mapipa. Muwe na aibu, mashindano makubwa yanapita na hamna mlicholifanyia taifa kazi kuzurura Vingunguti na Buza kuuza kofia.
Endeleeni na ukenge wenu ila kwenye mahojiano tumeiona Visit Saudia na Visit Rwanda, sana sana tumemuona Bocco na Robatinho wa izii notiii iiizeeeeeee.
Wameleta ubahili wao na Bodi nzima ya Mpira wa Tanzania wameshindwa kulitangaza taifa kabla ya michuano mpaka hitimisho la hapo kesho, walikuwa kimya! Sasa shujaa Kagame kaingia mzima mzima dadeki, Visit Rwanda kwenye ardhi ya mwenyeji na mwenyeji kabaki kutoa macho!
Simba ni kikundi fulani cha wachawi wachawi kikiundwa na vilaza na bimburukenge vya Magomeni Mapipa. Muwe na aibu, mashindano makubwa yanapita na hamna mlicholifanyia taifa kazi kuzurura Vingunguti na Buza kuuza kofia.
Endeleeni na ukenge wenu ila kwenye mahojiano tumeiona Visit Saudia na Visit Rwanda, sana sana tumemuona Bocco na Robatinho wa izii notiii iiizeeeeeee.