Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Viongozi wa Simba kama mnakua na mambo yenu binafsi ya kujipendekeza, basi ingieni kwenye Siasa. Msilete Uchawa wa kijingajinga kwenye timu yetu.
Msimu uliopita mlijifanya Wazalendo sana mkaacha kumtafuta wadhamini kimataifa Bali mkataka kuonekana wazalendo uchwara.
Mkaandika Visit Tanzania
Yanga wenyewe Wakaamua kusaka pesa kutoka mdhamini Hier.
Sote tumeona Rais Samia anachofanya kwa timu yake Yanga.
Simba tumepambana na Wydad bingwa mtetezi mpaka Mwarabu analia lakini hatukuthaminika.
Leo hii waarabu ile Visit Tanzania wanayo kichwani mpaka kesho.
Yanga wao wameitangaza Hier lakini Rais ndio kafurahia kutangaza Hier kuliko Tanzania.
Sasa tunasema imetosha. Kama mkokosa wadhamini basi acheni plain.
Hakuna Cha uzalendo wana uzwazwa hapa ni kusaka Hela tu.
Ni wazi Wanasimba hatufurahishwi na mambo ya Siasa kuletwa kwenye michezo.
Msimu uliopita mlijifanya Wazalendo sana mkaacha kumtafuta wadhamini kimataifa Bali mkataka kuonekana wazalendo uchwara.
Mkaandika Visit Tanzania
Yanga wenyewe Wakaamua kusaka pesa kutoka mdhamini Hier.
Sote tumeona Rais Samia anachofanya kwa timu yake Yanga.
Simba tumepambana na Wydad bingwa mtetezi mpaka Mwarabu analia lakini hatukuthaminika.
Leo hii waarabu ile Visit Tanzania wanayo kichwani mpaka kesho.
Yanga wao wameitangaza Hier lakini Rais ndio kafurahia kutangaza Hier kuliko Tanzania.
Sasa tunasema imetosha. Kama mkokosa wadhamini basi acheni plain.
Hakuna Cha uzalendo wana uzwazwa hapa ni kusaka Hela tu.
Ni wazi Wanasimba hatufurahishwi na mambo ya Siasa kuletwa kwenye michezo.