Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Kwa jinsi hali ilivyo Hamis kigwangalah au Nassoro kamma anavyofahamika na wazazi wake jamaa ni mpigaji wa kiwango cha kutisha
Hivi aliwezaje kupiga pesa wizarani tanapa na ngorongoro bila magufuli kumshughulikia au ikikuwa duo hyo au ndo ukanda unaosemwa?
Swali moja najiuliza iwapo alikusanya wasanii na pesa zikapigwa ingekuwaje DEAL YA SIMBA VISIT TANZANIA INGEMKUTA SHEIKH NASSORO YUKO WIZARANI...
KIGWA WE NOMA
Hivi aliwezaje kupiga pesa wizarani tanapa na ngorongoro bila magufuli kumshughulikia au ikikuwa duo hyo au ndo ukanda unaosemwa?
Swali moja najiuliza iwapo alikusanya wasanii na pesa zikapigwa ingekuwaje DEAL YA SIMBA VISIT TANZANIA INGEMKUTA SHEIKH NASSORO YUKO WIZARANI...
KIGWA WE NOMA