KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
Watajashindwa kusikia hawa. Yaani kelele za pale ni hatariHuwa nawaza hatma ya hawa wanaoshinda masokoni ikoje
Daaaaahh
BossWana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda π
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Boss
Miaka minne yote hiyo na upo dsm.
Ndugu Hilo swali najiuliza pia... Je wanalala vizuri? Haina athari kwa afya?Huwa nawaza hatma ya hawa wanaoshinda masokoni ikoje
Daaaaahh
Sometimes una waacha tu..Wana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda π
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Hawa wengine inaonekana wanataka kushika wanaowataka kuwashika, wanatumia biashara kama kigezo tu.Wana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda π
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Wanayo ila wanaangalia wa kushikaWana tabia pia ya kushika wateja kuwalazimisha waende wanapotaka wao
As if wewe hujui unakoenda [emoji38]
Hii tabia sijui wameacha? Sijafika karume miaka minne hii
Ndio maana hata tabia zao ni kama za mbuzi.Ndugu Hilo swali najiuliza pia... Je wanalala vizuri? Haina athari kwa afya?
ππππππ Hii ni kwa gender zote lakini...Hawa wengine inaonekana wanataka kushika wanaowataka kuwashika, wanatumia biashara kama kigezo tu.
Watu wastaarabu hawawezi kuingia kwa hali hiyoKaka tunamjulisha mteja kwa kile tunachouza hata kama yupo mbali na biashara zetu...
Wewe fanya yako geuza kwako.
Loh! π€¦ββοΈHawa wengine inaonekana wanataka kushika wanaowataka kuwashika, wanatumia biashara kama kigezo tu.
Tabu sana mkuuNCHI HII NI KELELE KILA MAHALI