KERO Vispika vya matangazo vimekuwa kero kubwa kwenye masoko, mamlaka ipige marufuku

KERO Vispika vya matangazo vimekuwa kero kubwa kwenye masoko, mamlaka ipige marufuku

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Juzi niliamua kuingia soko la mitumba Karume kwa mara ya kwanza. Kweli ni sehemu nzuri ya kupata nguo nzuri za mitumba. Ila kuna kero moja isiyovumilika kwa watu tunaopenda ustaarabu.

Kila mfanyabiashara ana spika kwahiyo kelele za pale zimekuwa ni kero kubwa sijui wenyewe wanaonaje ila kwangu palinishinda. Yaani hizi spika ni kero sana.

NEMC WAZIPIGE MARUFUKU NI UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Kero kubwa ya Karume ni madalali yaani ukifika unazongwa na madalali na ndio wanaongea Bei huku mwenye Mali katulia, ukinunua kiatu Cha elfu30 basi boss anachukua elfu25
 
Lakini pamoja na changamoto zote hizi serikali bado inaweza kuwapanga watu katika umaskini wao, mbona waliamua Wamachinga waondoke baadhi ya maeneo wakaweza,.mbona walipiga marufuku boda boda kati kati ya mji wakaweza. Hapo Karume ni kupiga marufu tu hivyo vipaza sauti kwa wote na wala hakuna mtu atakayejigusa kwa sababu kiuhalisia hata havina mchango mkubwa sana wa maana kuvutia wateja kwa hao wauzaji.

Tatizo ni kwamba serikali haitimizi wajibu wake hata katika maeneo mengine rahisi sana yasiyohitaji hata gharama kubwa za utekelezaji.
Serikali haiwezi kuwapanga watu kama kasi ya watu kuongezeka imekuwa kubwa kuliko uwezo wa serikali kujipanga kuwapanga watu.

Katika kitabu chake "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960- 1964", Profesa Paul Bjerk alieleza jinsi serikali ya Tanganyika na baadaye Tanzania ilivyoanza kwa ari kubwa ya maendeleo mara tu baada ya uhuru.

Serikali ilipanga mambo mengi sana ya maendeleo. Ilijenga shule, hospitali etc.

By 1965 ikafikia target nyingi muhimu ilizoweka katika mpango wa kwanza wa maendeleo. Lakini kulikuwa na tatizo moja kubwa.

Serikali ilikuwa haijaweka kasi ya ukuaji wa idadi ya watu katika hesabu zake, kwa hivyo, ingawa ilifikisha targets zake by 1965, by that time targets zilikuwa outdated.

Hili tatizo linaendelea mpaka leo.

Katika miaka 20 ijayo, Dar es salaam ita double population kutoka takriban watu milioni 7 wa sasa mpaka takriban watu milioni 14.

Hiyo serikali ya ku deal na hiyo population explosion iko wapi?

Hii hii tuliyonayo au tutachukua ya kukodi kutoka nje?
 
Juzi niliamua kuingia soko la mitumba Karume kwa mara ya kwanza. Kweli ni sehemu nzuri ya kupata nguo nzuri za mitumba. Ila kuna kero moja isiyovumilika kwa watu tunaopenda ustaarabu.

Kila mfanyabiashara ana spika kwahiyo kelele za pale zimekuwa ni kero kubwa sijui wenyewe wanaonaje ila kwangu palinishinda. Yaani hizi spika ni kero sana.

NEMC WAZIPIGE MARUFUKU NI UCHAFUZI WA MAZINGIRA

Hii ni Noise Pollution, nafikiri kwa nchi zilizoendelea ujinga kama huu haupo

Ukileta kero ya hivyo kwa umma unachukuliwa hatua za kisheria

Dsm Tunapata Pollution za kila namna, Air, Noise, Water na Land pollution
 
Serikali haiwezi kuwapanga watu kama kasi ya watu kuongezeka imekuwa kubwa kuliko uwezo wa serikali kujipanga kuwapanga watu.

Katika kitabu chake "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960- 1964", Profesa Paul Bjerk alieleza jinsi serikali ya Tanganyika na baadaye Tanzania ilivyoanza kwa ari kubwa ya maendeleo mara tu baada ya uhuru.

Serikali ilipanga mambo mengi sana ya maendeleo. Ilijenga shule, hospitali etc.

By 1965 ikafikia target nyingi muhimu ilizoweka katika mpango wa kwanza wa maendeleo. Lakini kulikuwa na tatizo moja kubwa.

Serikali ilikuwa haijaweka kasi ya ukuaji wa idadi ya watu katika hesabu zake, kwa hivyo, ingawa ilifikisha targets zake by 1965, by that time targets zilikuwa outdated.

Hili tatizo linaendelea mpaka leo.

Katika miaka 20 ijayo, Dar es salaam ita double population kutoka takriban watu milioni 7 wa sasa mpaka takriban watu milioni 14.

Hiyo serikali ya ku deal na hiyo population explosion iko wapi?

Hii hii tuliyonayo au tutachukua ya kukodi kutoka nje?
Labda pia serikali tangu enzi za Nyerere haitaki kujihusisha sana na ku deal na kasi ya idadi ya watu/population control kuepusha mgongano na dini kubwa mbili ambazo zimekuwa mojawapo ya karata muhimu za siasa za utawala wa chama tawala.

Mbaya zaidi Jiwe alikuja akapandikiza mawazo yake mufilisi ambayo yamewaganda sana wafuasi wake wengi ya kwamba watu wafyatue na waongozeke sana kama njia mojawapo ya kuleta maendeleo kwa kasi.
 
Labda pia serikali tangu enzi za Nyerere haitaki kujihusisha sana na ku deal na kasi ya idadi ya watu/population control kuepusha mgongano na dini kubwa mbili ambazo zimekuwa mojawapo ya karata muhimu za siasa za utawala wa chama tawala.
Serikali imehusika sana kwenye uzazi wa mpango, nyota ya kijani, uzazi wa mpango, Marie Stopes etc.

Tatizo serikali haiko consistent tu. Mfano, alivyokuja Magufuli aliingiza siasa zake za Ukatoliki na Umagufuli akaachana na hizi sera zote, na mpaka sasa nimemsikia Samia anazigusia kwa mbali tu kwa style ya "hili nalo mkalitazame" halafu hakuna mtu anayefuatilia, lakini hakuna msisitizo kwenye vitendo.
 
Serikali imehusika sana kwenye uzazi wa mpango, nyota ya kijani, uzazi wa mpango, Marie Stoles etc.

Tatizo serikali haiko consistent tu. Mfano, alivyokuja Magufuli aliingiza siasa zake za Ukatoliki na Umagufuli.
umesahau na Ungosha mkuu[emoji1787]
 
Unajua maana ya soko/sokoni?
Yaani sawa na kukataa/kuzuia damu au nzi buchani
Unaleta ubrazameni hadi kwenye maslahi ya watu aisee
Pale ni sokoni mjomba acha ubishoo or otherwise nenda supermarket!
 
Naomba kujua kitu hivi... Hizi kelo mbali mbali ambazo zipo tupo nazo kwenye maeneo tofauti tofauti katika jamii zetu imetokea tuuy tumejikuta tupo huku au ni vitu vilianzishwa hali ya kuwa mamlaka zilishaweka utaratibu na sheria zake?
 
Naomba kujua kitu hivi... Hizi kelo mbali mbali ambazo zipo tupo nazo kwenye maeneo tofauti tofauti katika jamii zetu imetokea tuuy tumejikuta tupo huku au ni vitu vilianzishwa hali ya kuwa mamlaka zilishaweka utaratibu na sheria zake?
Sheria ya noise pollution ipo
 
Unajua maana ya soko/sokoni?
Yaani sawa na kukataa/kuzuia damu au nzi buchani
Unaleta ubrazameni hadi kwenye maslahi ya watu aisee
Pale ni sokoni mjomba acha ubishoo or otherwise nenda supermarket!
Masoko yako mengi tu yametulia karume ni too much. Minada ipo imetulia tu unakuta wenye spika hata 10 hawafiki ila pale karume wamesongamana alafu kila mtu anakispika
 
Masoko yako mengi tu yametulia karume ni too much. Minada ipo imetulia tu unakuta wenye spika hata 10 hawafiki ila pale karume wamesongamana alafu kila mtu anakispika
Kama wamezidi basi mamlaka ziifanyie kazi kero hiyo, maana every too much of anything is harmful!
 
Ukisikia Africa ni bara maskini ni pamoja na hayo Makelele
 
Back
Top Bottom