Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Umejuaje anauza mkuuRuge anaponaje katika hili? suala la unga
Hahahahhahammh..ngoja tuendelee kucheck hii series ya Wema Sepetu is in Prison and the Rise of Makonda
lengo la kuwahoji ni kuwataka wakiri tu kuwa wababwia ungalengo la kuwakamata lilikua ni kuwataja mapapa wanaowauzia pamoja na mtandao mzima.. sasa tunasubiri kutajiwa majina yao... lasivyo lengo la kuwahoji ni nn?..
Vp hajataja wengine tukahakiki majina yetu, na mbn iwe ijumaa au ndo ile ili ulale mpk jtatu auMhh nouma sana anaongeaa kwa kujiamin sana kweli yupo tayar kajitoleaa sana