Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
clauzzzzz hahaha hili linchi viongoz wote wa cm wanapaswa kuwa jela k=wa ubadhirifuAnaongelea wapi?
sisim bwanawe teja??
huyo msukuma ni mbunge si aende mahakamani?
umeongea utopia, mwenzako makonda anafanya action ambazo ndio topic zenu
ulichoongea hapo juu ni hadithi za kudhania tu
Haraka ya niniKwanini makonda hakumtaja hadharani huyo mama aliyedai ana maduka ya nguo??
Hata alitaja atashindwa kujibu ,,ila mm nilivyoelewa ni kwamba hawa wanamahotel sasa wale wenzake wakina tunda wanakuwa wanaenda kufanyiaa biashara kwenye mahoteli yao sasa wakajibu na jinsi ya kuweza kudhibit biashara kwa wafanyakazi wa chini kama club za bilcanaz ,ila kwa wengne ni kweli wanafanya hizo biashara
muuaji mkubwa huyoDamu za watu gani? Kuna mtu kamuua?
Mbowe mungu kwenuUpuuzi mtupu
Asema hao akina Mbowe wamekamatwa na ton ngapi,lini na wapi?Lengo hapa ni kuichafua CDM ionekane kama chama cha kihalifu
Jitu zima hovyoo!
[emoji11] [emoji11] [emoji11] [emoji11]Jamaa anatakiwa awe vizr sana sasaiv awe makini sana maana amegusa ma taikun... tusije tukarud na uzi wa r.i.p
Hujui alie nyuma yake??..
Kumbuka tu u RC hauipigiwi kura na wananchi.
Wew ni teja au muuza madawa?mbona unaleta ujinga kweny mambo ya maana? Hyo Kesi yenu itafutieni muda now hatutaki kusikia mengine zaid ya wanaohusika na madawa.Labda atafafanua pia ile hoja ya Jose Msukuma jana bungeni kuwa ameepataje utajiri mkubwa alionao ndani ya miaka 3 tu
Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya mkuu. Ni rahisi kuona mchezo huu unavyochezwa. Lakini yote haya msingi wake ni aina ya watu tuliomo katika taifa hili. Majina ya akina Chidbenz, Wema; na the like yalitajwa kama maandalizi ya kuja kutajwa majina yaliyokusudiwa katika "character assassination". Kinachofanyika hakipaswi kupongezwa wala kushangiliwa kwa kuwa ni hatua ya pili ya kuligeuza taifa hili kuwa la visasi! Tuendelee kuomba!Mkuu kuna watu wanazungumza kiushabiki humu bila kujua madhara yake. Mbowe kwa siku nyingi anajijua kuwa anawindwa kisiasa, hivi ni wazimu gani waweza kumfanya akaingia kwenye biashara hatari huku akijua ana windwa kila mahala?
Ninachofikiri ni lengo la kumdhalilisha kisha awe muoga na kurudi nyuma. Hakika njama hizo haziwezi kamwe kushinda.
Yule ni KUB na kama alikuwa ana jambo la kuhojiwa sio stahili kwa Makonda kutamka eti aje ijumaa ahojiwe, wangeweza mfata Dodoma na kumhoji au IGP kumtumia wito. Kwani mtu akisema Majaliwa PM anahusika Makonda angeweza kutamka pale kuwa aje Ijumaa central?
Kibunge KUB na PM wana hadhi zinazoendana labda sie hatutaki kukubali tuu.