Sio yeyeUnaomba asiwe yeye. Ndio mwenyewe Mkuu
Mwana CBE kumbe wewe ni kielelezo tosha cha vijana na wafuasi wa BILICANAS club walivo wachovu wa kufikiri, Makonda kamtaja mtu mmoja tu waupinzani leo mnakuja kusema anatka kuua upinzani hahahahahah duh Mungu wa nchi hii tunampa kazi kwelikweli inabidi aanze upya kupitia baadh ya bongo zaoWewe mtoto wa dawa ni punguani kabisa mbwa wewe.
Na kama ccm hii inadhani inaweza ikauwa mawazo ya upunzani nchi hii kwa sinema za kifala kiasi hiki basi hiki chama sasa kinapaswa kuwa cha mafala tu kaka wewe
Kusaidia jamuhuri kusaidia jamuhuri! Kichwani uko vibaya sanawakijani ni akina nani, Makonda Paulo kesha maliza kazi au kuna wengine unawajua usaidie Jamuhuri
Hivi mnapoambiwa hii vita ngumu huwa hamuelewi?...Ila kwa mbowe siamini kabisa
Dogo ana haha! Naona op inaendelea kimagumashi, maneno mengi mpaka maana ya vita yenyewe inaharibiwa.
Sometimes the questions are complicated and the answers are simple, amini nakwambiaWanasema eti kwenye chama chao wote wasafi hawana hzo mamboz 😀😀😀
Kwa utawala huu uliojaa kutengeneza matukio na kuishi kwenye midomo ya media..nadhani uchumi wa viwanda tutasubir sanaaa
Achalewi kuumwa ghafla [emoji13] [emoji13] [emoji13]sipati picha gwajima atakavyofura, akitoka kuhojiwa, atatapika mpaka watajuta kumfahamu
me nawasiwasi na haya unayoyasema, kama unaushahid weka hadharani tuujue maana naona na wewe kama watafuta kiki tu hapa. Kwani wewe kwa wote waliotajwa nani kaonewa au yupi aliyelalamika kama kazingiziwa. Embu jitahid kuwa positivy kwenye hili bwana hata kama kuna namna yeyote. Madawa sio kweli aseeeeeee........Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.
Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.
Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.
Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga
Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.
Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia
Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
Amesema Mbunge wa HaiMwenyekiti wa cdm si ni Freeman Aikael Mbowe, ndio maana kwenye radio alisikika kuongeza maelezo ili kuonyesha kwamba ni Mbowe wa cdm. Sasa je, kisheria itakuwa ni sawa Mh. Freeman Mbowe kuitikia wito au mpaka ifanyike clarification ya typing error!?
mbowe ahukumiwe kwa makosa yake jamani si kwa kabila lake huko kuenda mbali na si haki! Mbowe si nembo wala mwakilishi wa wachaga wote.Naona jamiiforums imepingwa ganzi baada ya mbowe kuweno katika list ya drug dealers. Jamani token njoni mtetee tena mana nyie ni mabingwa wa kusafisha na tutetea uozo.
Mwaka huu upinzani unapotea mana kila sehemu wamekabwa.
Kumbe ndo maana lisu mishipa nilitaka kupasuka kwa kuwatetea drug dealers ili lujihami kwa mwenyekiti wake!!!
Sasa mbowe kila uozo yumo. Kukwepa kodi yeye, kuharibu mazingira yeye,hata madawa? Sasa upinzani jamani si wangetuingiza chaka tungethubutu kuwachagua.
Asante mungu kwa kutuonesha hali halishi ya upinzani.
Lini mchaga akajifanya anakutetea ili we uwe na maisha mazuri?
Nani hayumo?Yupi? List ishawekwa na hayumo