Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Gwajima na Azan wana uhusiano gani hawa watu?
 
Aendeleee tu hao wanaosema ana utajiri mbona wao mali zao hawajatuambia ili tujue wako sawa na sisi,Kama na wao wanatuzidi sisi wajieleze.
 
Wewe mtoto wa dawa ni punguani kabisa mbwa wewe.
Na kama ccm hii inadhani inaweza ikauwa mawazo ya upunzani nchi hii kwa sinema za kifala kiasi hiki basi hiki chama sasa kinapaswa kuwa cha mafala tu kaka wewe
Mwana CBE kumbe wewe ni kielelezo tosha cha vijana na wafuasi wa BILICANAS club walivo wachovu wa kufikiri, Makonda kamtaja mtu mmoja tu waupinzani leo mnakuja kusema anatka kuua upinzani hahahahahah duh Mungu wa nchi hii tunampa kazi kwelikweli inabidi aanze upya kupitia baadh ya bongo zao
 
Ila kwa mbowe siamini kabisa
Hivi mnapoambiwa hii vita ngumu huwa hamuelewi?...


Trust no one.... kanuni ya kijasusi na maisha tangu kale

Kuna wengi tunaowaamini wana pande nyingine za giza tusizozijua....

Si ufisadi, ushirikina, mauaji ya Albino, uuzwaji na matumizi ya madawa na mengine mengi kama uzinzi na uzandiki, ni matendo ya wanadamu tunaowapenda na tuwachukiao, pia wewe au mimi tunaweza kuwa na moja yawenye hizo tabia....

Cha msingi haki itendeke, hujawahi ona ama kusikia mke ama mume anamuua mwenzi wake?

Hii ndo dunia hutoviamini vingi sana hadi mwisho wa uhai wetu mfupi uliojaa mashaka ya kila namna....

Tuliitaka vita, tumeipata hakuna kurudi nyuma
 
Freeman Aikaeli Mbowe ndo huyu huyu Philemoni Mbowe..??
Hizi sasa naona ni muendelezo wa character assasinations...!
 
MIMI NAMSIFU MAKONDA WALAU AMETAJA SIO WABUNGE NA WATU FULANI KAZI KUSEMA WAPO MAPAPA HUKU HAWAWATAJI.
 
Me sikumsikiliza radio wala TV ila list imeandikwa tena kwa mkono Philemon Mbowe lakini picture ni Freeman Mbowe sasa hapo ndio penye utata.
 
Anaongea nini sasa.
Na yeye akareport central akahojiwe. Tuhuma zake sio za kwenda kwenye media kujisemesha.

Hii tuhuma ya yeye kuwa na mahusiano ya kmapenz na dealer wa kmataifa wa madawa sio ndogo. Magufuli hapashwi kulifungia macho hili.

Na mali alizo nazo sasa zifanyiwe auditing. Huyu kwa mwaka mmoja inasemekana ameaccumulate mali kumzidi hata Raisi wake. Hata mawaziri hawamfikii. Sasa awataje wahisani wake wachunguzwe.

Na wale wauza shisha waliotaka kumuhonga awataje nao wahojiwe. Msitufanye sisi wajinga

Huyu atakuwa anashirikiana na gang flani la wauza unga ila kaja na project ya kuwaeliminate dealers wengne ili watakaobaki wawe monopoly ili wamake abnormal profit. Tusidanganyane hata siku moja mkuu wa mkoa ambaye ni kada wa CCM et kupambana na madawa ya kulevya. Huku ni kujitaftia mazingira ya kupewa rushwa tu na biashara mwisho wa siku itaendelea as usual.

Kuna mwaka USA ilipata tuhuma za kutumia madawa ya kulevya kama source of Government income. Ni kwamba USA ilikuwa vbya kwenye uchumi. Serkal ikaja na mbinu kali za kutyte wauza madawa. Bei ya madawa ikapanda. Wao walikuwa na special depertment kwenye kitengo cha CIA/ Polisi waliojulkana kama bad cops ambao walikuwa wanachukua percent kutoka kwa drag dealers. Hii percent ilienda serkalini. Katika hiyo miaka madawa yalisafirishwa mpaka na ndege za jeshi.Allegations of CIA drug trafficking - Wikipedia

43f5dd645d2131afae370625a6bdbe00.jpg


Sasa isije ikawa na tz ikaelekea uko.
me nawasiwasi na haya unayoyasema, kama unaushahid weka hadharani tuujue maana naona na wewe kama watafuta kiki tu hapa. Kwani wewe kwa wote waliotajwa nani kaonewa au yupi aliyelalamika kama kazingiziwa. Embu jitahid kuwa positivy kwenye hili bwana hata kama kuna namna yeyote. Madawa sio kweli aseeeeeee........
 
Mwenyekiti wa cdm si ni Freeman Aikael Mbowe, ndio maana kwenye radio alisikika kuongeza maelezo ili kuonyesha kwamba ni Mbowe wa cdm. Sasa je, kisheria itakuwa ni sawa Mh. Freeman Mbowe kuitikia wito au mpaka ifanyike clarification ya typing error!?
Amesema Mbunge wa Hai
 
Naona jamiiforums imepingwa ganzi baada ya mbowe kuweno katika list ya drug dealers. Jamani token njoni mtetee tena mana nyie ni mabingwa wa kusafisha na tutetea uozo.
Mwaka huu upinzani unapotea mana kila sehemu wamekabwa.
Kumbe ndo maana lisu mishipa nilitaka kupasuka kwa kuwatetea drug dealers ili lujihami kwa mwenyekiti wake!!!
Sasa mbowe kila uozo yumo. Kukwepa kodi yeye, kuharibu mazingira yeye,hata madawa? Sasa upinzani jamani si wangetuingiza chaka tungethubutu kuwachagua.
Asante mungu kwa kutuonesha hali halishi ya upinzani.
Lini mchaga akajifanya anakutetea ili we uwe na maisha mazuri?
mbowe ahukumiwe kwa makosa yake jamani si kwa kabila lake huko kuenda mbali na si haki! Mbowe si nembo wala mwakilishi wa wachaga wote.
 
Back
Top Bottom