Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

Mwenye akili timamu,awezi akakaa na kuamin anachosema makonda,alivyoanza na wasanii mm,nilijua ni mtu makin,lakin kwa wasanii limeisha kwa hoja nyepesi,sasahv kahamia kwa wengine.cha ajabu wote amewaacha ila kamshikilia wema,kama sio chuki binafsi ni nn?.
 

Kwenye bold ni upuuzi na si hoja, kwenye hizo biashara hakuna chuki za kisiasa, kidini wala kikabila...
Huko wimbo mmoja tuu,... " Kutengeneza pesa, mengine ni vichaka tuu vya kujificha....

Hawa watu wapo popote, tusubiri wakati mwema tutajua kama ni chuki ama ni kweli...

Tuuache muda uamue hizi kelele ziampoteza mbwa.
 
Chadema imehusikaje mkuu?
 
m

mbona aliyetajwa ukisoma list ni philemon mbowe, au ana majina mengine, mie najua ni freeman aikael mbowe huyu philemon mbowe ni nani
lakini aliweka sawa akasema mbunge wa HAI so jina inaweza kuwa typing error
 
EXACTLY
 
SHOGA JAMES DELICIOUS

AAPA KUTAJA LIST YAKE KESHO ALIOTEMBEA NAE BILA KUANGALIA SURA.. DUH UKIKOSWA KWA MAKONDA HUYU ANAWALIPUA AMTOKI MWAKAAHUU LAZIMA TUNYOOKEE
Maskhara hayo mkuu. Ikiwa hivyo wakubwa watamfunga speed gavanna.
 
Sikiliza kuanzia dakika ya 31 halafu utueleze Mbunge wa Hai, Aikaeli Mbowe ni aliyekuwa miliki wa Bilicanas au siyo?
Orodha umeisoma? Ushahidi mzuri ni wa maandishi. Wa matamshi unahitaji vigezo vingi sana kuupa sifa na maranyingi inategemea MIHEMKO ya mtamkaji. Video ni matamshi.
 
Si lazima Rais au PM hata wewe unaweza kufanya ni swala la uifanye kwa namna gani kulingana na nafasi yako
 
Mitaan chuku dhidi ya polis inatsha saana mkuu..
Wahfkrie upya hawa polis..wajeda n wababe haswa lkn n ngumu kuskia wanachukiwa....polis n too much
 
Mbona majina mengi ni Nick names tu!!?

Kweli kama hii vita ni serious unapambana kutokomeza madawa ya kulevya halafu unawaita waje wenyewe!!? Hii haitakuwa vita ya madawa ya kulevya, watafute jina jingine la kuiita!!

Naona wanaitwa kirafiki kweli .......... eti Ijumaa waje Central tupige pige maneno.......... tusikilize wanavyotwambia ili tujilizishe!! Seriously!!
 
Hamna kumuharibia jina mtu. Mambo yashafanyiwa uchunguzi bwana.
Mnasikitisha sana vijana, jiulize japo kwa nini waziri mwenye dhamana kaamua kukaa kimya na kumuachia huyo madereva akibwabwaja hovyo
 
HAPA KUNA TATIZO KWANI MHUSIKA NI MBOWE AS ELKAELI AU MMILIKI WA ILIYO KUA CLUB YA BILLICANAS? My take kwa vyovyote vile ukiwa na nightclub kama ilivyo kua billicanas madawa ya kulevya hayakosekani. Je Mbowe alikua ana husika directly or as a club?
ijumaa itatupa majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…