KUNA CLIP INASEMA ANAMLA FULANI NA NDIO SABABU HAJAMTAJA HILO VIPI? KUNA WABUNGE WAMEHOJI KUHUSU UTAJIRI WAKE WA GHAFLA MBONA HAJIBU ?KAMA SIO MDAUMSHIRIKI KUUZA HIYO SEMBE AJIBU !!Ukimuona mtu amesimama anatetea juu ya KUKAMATWA kwa hawa WATUMIAJI au WAUZAJI ujue huyo mtu ANAFAIDA NAYO au HASIRAHI nayo BINAFSI.
Mkuu MAKONDA usiangalie sura wala jina wote kamata.
KUNA CLIP INASEMA ANAMLA FULANI NA NDIO SABABU HAJAMTAJA HILO VIPI? KUNA WABUNGE WAMEHOJI KUHUSU UTAJIRI WAKE WA GHAFLA MBONA HAJIBU ?KAMA SIO MDAUMSHIRIKI KUUZA HIYO SEMBE AJIBU !!
Kama "amewafuatilia na anawajua kuliko wanavyojijua" si anawapeleka mahakamani? Wewe una uhakika mtu huyu ni jambazi, kisha unamwita nyumbani kwako mjadiliane? tumia akili kidogowe nae kashasema hawataji mtu bila kufatilia, hivi umemsikia kweli au mihemko tu...
Umesoma orodha au unasimamia umbea? Kutajwa wanatajwa wangapi banaa?we zombi nini katajwa mbowe chaiman chadema, na manji chairman yanga
Picha zenye pia hamuonikusoma so ishu ila picha tunaona hahahaha
timu central sema mwenyekiti aende na net kule maana so kwa mbu zile mpaka madame kalalamika
Mi wala suna shida hata angekua ni yeye kweli. Ishu hapa watu walitamani awe yeye. Hadi mkuu wa mkoa kaingia kingi nae kawaingiza team Lumumba chaka wameshangilia kumbe wamejifunga la kisigino. Philemoni ana kadi na istoshe hadi bendera ya wana EscrowUna wasiwasi wa nini? Anakwenda kuhojiwa tu.
Wewe wakati tukio lipo live ulikuwa upo kiwandani unafunga box la salama hapo mabibo, so ujui kitu zaidi ya kusoma comment za watu.Umesoma orodha au unasimamia umbea? Kutajwa wanatajwa wangapi banaa?